8 ‘Ninayajua matendo yako—tazama! nimeweka mbele yako mlango uliofunguliwa,+ usioweza kufungwa na yeyote. Nami ninajua kwamba una nguvu kidogo, nawe ulilishika neno langu na hukulikana jina langu.
8 ‘Mimi nayajua matendo yako+—tazama! nimeweka mbele yako mlango uliofunguliwa,+ ambao hakuna yeyote anayeweza kuufunga—kwamba una nguvu kidogo, nawe ulilishika neno langu na hukulikana jina langu.+