7 Kiumbe hai wa kwanza alikuwa kama simba,+ na kiumbe hai wa pili alikuwa kama ng’ombe dume mchanga,+ na kiumbe hai wa tatu+ alikuwa na uso kama wa mwanadamu, na kiumbe hai wa nne+ alikuwa kama tai anayeruka.+
7 Na kiumbe hai wa kwanza ni kama simba,+ na kiumbe hai wa pili ni kama ng’ombe-dume+ mchanga, na kiumbe hai wa tatu+ ana uso kama wa mwanadamu, na kiumbe hai wa nne+ ni kama tai+ anayeruka.