2 Nami nikaona, na tazama! farasi mweupe,+ na yule aliyeketi juu yake alikuwa na upinde; naye akapewa taji,+ naye akaenda akishinda na kukamilisha ushindi wake.+
2 Nami nikaona, na, tazama! farasi mweupe;+ na yule anayeketi+ juu yake alikuwa na upinde;+ naye akapewa taji,+ naye akaenda akishinda+ na kukamilisha ushindi wake.+