11 Na kila mmoja wao akapewa kanzu nyeupe,+ nao wakaambiwa waendelee kupumzika kwa muda mfupi, mpaka idadi itimie ya watumwa wenzao na ndugu zao waliokuwa karibu kuuawa kama vile wao walivyouawa.+
11 Na kila mmoja wao akapewa kanzu nyeupe;+ nao wakaambiwa wapumzike tena muda kidogo, mpaka ijazwe pia hesabu ya watumwa wenzao na ndugu zao waliokuwa karibu kuuawa+ kama vile wao pia walivyouawa.