11 Kisha nikamwona mnyama mwingine wa mwituni akipanda kutoka katika dunia, naye alikuwa na pembe mbili kama mwanakondoo, lakini akaanza kuzungumza kama joka.+
11 Nami nikamwona mnyama-mwitu+ mwingine akipanda kutoka katika dunia,+ naye alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akaanza kusema kama joka+ mkubwa.