16 Anawalazimisha watu wote—wadogo kwa wakubwa, matajiri kwa maskini, walio huru kwa watumwa—ili wote watiwe alama kwenye mkono wao wa kulia au kwenye paji la uso wao,+
16 Naye huwalazimisha watu wote,+ wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, kwamba wawape hao alama katika mkono wao wa kuume au juu ya paji la uso wao,+