Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 14:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Malaika mwingine, wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kubwa: “Yeyote akimwabudu yule mnyama wa mwituni+ na sanamu yake na kupokea alama kwenye paji la uso wake au kwenye mkono wake,+ 10 yeye pia atakunywa divai ya hasira ya Mungu inayomwagwa ndani ya kikombe cha ghadhabu Yake bila kuchanganywa na kitu,+ naye atateswa kwa moto na kiberiti+ machoni pa malaika watakatifu na machoni pa Mwanakondoo.

  • Ufunuo 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Malaika wa kwanza akaenda na kumwaga bakuli lake juu ya dunia.+ Na kidonda chenye maumivu na kilicho hatari+ kikawapata watu waliokuwa na alama ya yule mnyama wa mwituni+ na waliokuwa wakiiabudu sanamu yake.+

  • Ufunuo 19:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na yule mnyama wa mwituni akakamatwa, na yule nabii+ wa uwongo pamoja naye, aliyefanya mbele yake ishara alizotumia kuwapotosha wale waliopokea alama ya yule mnyama wa mwituni+ na wale wanaoiabudu sanamu yake.+ Wakiwa bado hai, wote wawili walitupwa ndani ya ziwa la moto linalowaka kwa kiberiti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki