2 Malaika wa kwanza akaenda na kumwaga bakuli lake juu ya dunia.+ Na kidonda chenye maumivu na kilicho hatari+ kikawapata watu waliokuwa na alama ya yule mnyama wa mwituni+ na waliokuwa wakiiabudu sanamu yake.+
2 Na yule wa kwanza+ akaenda zake na kumwaga bakuli lake ndani ya dunia.+ Na kidonda chenye kuumiza na kilicho hatari+ kikaja juu ya wale wanadamu waliokuwa na alama ya yule mnyama-mwitu+ na waliokuwa wakiiabudu sanamu yake.+