Hesabu 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao wana wa Israeli, kusanyiko lote, wakaingia katika nyika ya Zini+ katika mwezi wa kwanza, nao watu wakakaa Kadeshi.+ Hapo ndipo Miriamu+ alipofia na hapo ndipo alipozikwa. Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 20:1 Igeni Imani Yao, makala 7
20 Nao wana wa Israeli, kusanyiko lote, wakaingia katika nyika ya Zini+ katika mwezi wa kwanza, nao watu wakakaa Kadeshi.+ Hapo ndipo Miriamu+ alipofia na hapo ndipo alipozikwa.