2 Wafalme 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na ikawa kwamba mara tu Mfalme Hezekia+ aliposikia, mara moja akayararua mavazi yake,+ akavaa nguo za magunia,+ akaingia ndani ya nyumba ya Yehova.+ 2 Wafalme Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:1 Ufahamu, uku. 337
19 Na ikawa kwamba mara tu Mfalme Hezekia+ aliposikia, mara moja akayararua mavazi yake,+ akavaa nguo za magunia,+ akaingia ndani ya nyumba ya Yehova.+