13 Tazama! Nchi ya Wakaldayo.+ Hiki ndicho kikundi cha watu—Ashuru+ hakujionyesha kuwa hicho—walimweka awe msingi kwa ajili ya wakaaji wa jangwani.+ Wamesimamisha minara yao ya kuzingira;+ wameivua minara yake ya makao;+ mtu amemweka kuwa bomoko linaloharibika.+