-
Mathayo 13:44Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
44 “Ufalme wa mbingu ni kama hazina iliyofichwa katika shamba, ambayo mtu aliipata na kuificha; na kwa sababu ya shangwe aliyo nayo yeye aenda na kuuza vitu alivyo navyo na kununua shamba hilo.
-