-
Ufunuo 21:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 Pia, malango kumi na mawili yalikuwa lulu kumi na mbili; kila moja la malango lilikuwa limefanywa kwa lulu moja. Na njia pana ya jiji ilikuwa dhahabu yenye kutakata, kama kioo chenye kuona.
-