1
Ujumbe kwa Theofilo (1-4)
Gabrieli atabiri kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji (5-25)
Gabrieli atabiri kuzaliwa kwa Yesu (26-38)
Maria amtembelea Elisabeti (39-45)
Maria amtukuza Yehova (46-56)
Yohana azaliwa na kupewa jina (57-66)
Unabii wa Zekaria (67-80)
2
Yesu azaliwa (1-7)
Malaika wawatokea wachungaji (8-20)
Tohara na kutakaswa (21-24)
Simeoni amwona Kristo (25-35)
Ana azungumza kumhusu mtoto (36-38)
Warudi Nazareti (39, 40)
Yesu aenda hekaluni akiwa na miaka 12 (41-52)
3
Yohana aanza kazi yake (1, 2)
Yohana ahubiri kuhusu ubatizo (3-20)
Yesu abatizwa (21, 22)
Ukoo wa Yesu Kristo (23-38)
4
Ibilisi amjaribu Yesu (1-13)
Yesu aanza kuhubiri huko Galilaya (14, 15)
Yesu akataliwa huko Nazareti (16-30)
Yesu akiwa katika sinagogi huko Kapernaumu (31-37)
Mama mkwe wa Simoni na wagonjwa wengine waponywa (38-41)
Umati wampata Yesu katika eneo lisilo na watu (42-44)
5
Wavua samaki kimuujiza; wanafunzi wa kwanza (1-11)
Mtu mwenye ukoma aponywa (12-16)
Yesu amponya mtu aliyepooza (17-26)
Yesu amwita Lawi (27-32)
Swali kuhusu kufunga (33-39)
6
Yesu ndiye “Bwana wa Sabato” (1-5)
Mtu aliyepooza mkono aponywa (6-11)
Mitume 12 (12-16)
Yesu afundisha na kuponya (17-19)
Furaha na ole (20-26)
Kuwapenda adui (27-36)
Acheni kuhukumu (37-42)
Mti hujulikana kwa matunda yake (43-45)
Nyumba iliyojengwa vizuri; nyumba isiyo na msingi imara (46-49)
7
Ofisa wa jeshi mwenye imani (1-10)
Yesu amfufua mwana wa mjane huko Naini (11-17)
Yohana Mbatizaji asifiwa (18-30)
Kizazi kisicho na imani chashutumiwa (31-35)
Mwanamke mwenye dhambi asamehewa (36-50)
8
Wanawake waliomfuata Yesu (1-3)
Mfano wa mpandaji (4-8)
Kwa nini Yesu alitumia mifano? (9, 10)
Mfano wa mpandaji wafafanuliwa (11-15)
Taa haipaswi kufunikwa (16-18)
Mama na ndugu za Yesu (19-21)
Yesu atuliza dhoruba (22-25)
Yesu awaruhusu roho waovu waingie ndani ya nguruwe (26-39)
Binti ya Yairo; mwanamke agusa mavazi ya nje ya Yesu (40-56)
9
Wale 12 wapewa maagizo kuhusu huduma (1-6)
Herode ashangazwa na Yesu (7-9)
Yesu awalisha wanaume 5,000 (10-17)
Petro amtambua Kristo (18-20)
Kifo cha Yesu chatabiriwa (21, 22)
Wanafunzi wa kweli (23-27)
Yesu ageuka sura (28-36)
Mvulana aliyekuwa na roho mwovu aponywa (37-43a)
Kifo cha Yesu chatabiriwa tena (43b-45)
Wanafunzi wabishana kuhusu cheo (46-48)
Asiyetupinga yuko upande wetu (49, 50)
Kijiji cha Wasamaria chamkataa Yesu (51-56)
Jinsi ya kumfuata Yesu (57-62)
10
Yesu awatuma wale 70 (1-12)
Ole kwa miji isiyotubu (13-16)
Wale 70 warudi (17-20)
Yesu amsifu Baba yake kwa kuwafunulia mambo wanyenyekevu (21-24)
Mfano wa Msamaria mwema (25-37)
Yesu awatembelea Martha na Maria (38-42)
11
12
Chachu ya Mafarisayo (1-3)
Mwogope Mungu, si wanadamu (4-7)
Kukiri muungano na Kristo (8-12)
Mfano wa tajiri mpumbavu (13-21)
Acheni kuhangaika (22-34)
Kukesha (35-40)
Msimamizi mwaminifu na msimamizi asiye mwaminifu (41-48)
Si amani, bali mgawanyiko (49-53)
Uhitaji wa kuchunguza nyakati (54-56)
Kutatua mizozo (57-59)
13
Tubuni au muangamizwe (1-5)
Mfano wa mtini usiozaa (6-9)
Mwanamke mlemavu aponywa siku ya Sabato (10-17)
Mfano wa mbegu ya haradali na wa chachu (18-21)
Jitihada zinahitajika ili kupitia mlango mwembamba (22-30)
Herode, “mbweha huyo” (31-33)
Yesu aombolezea Yerusalemu (34, 35)
14
Mtu mwenye ugonjwa wa kuvimba aponywa siku ya Sabato (1-6)
Uwe mgeni mnyenyekevu (7-11)
Waalike watu wasio na uwezo wa kukulipa (12-14)
Mfano wa wageni waliotoa visingizio (15-24)
Gharama ya kuwa mwanafunzi (25-33)
Chumvi inapopoteza nguvu yake (34, 35)
15
Mfano wa kondoo aliyepotea (1-7)
Mfano wa sarafu iliyopotea (8-10)
Mfano wa mwana mpotevu (11-32)
16
Mfano wa msimamizi asiye mwadilifu (1-13)
Sheria na Ufalme wa Mungu (14-18)
Mfano wa tajiri na Lazaro (19-31)
17
Kukwazika, msamaha, na imani (1-6)
Watumwa wasiofaa kitu (7-10)
Watu kumi wenye ukoma waponywa (11-19)
Kuja kwa Ufalme wa Mungu (20-37)
18
Mfano wa mjane aliyeendelea kuomba (1-8)
Farisayo na mkusanya kodi (9-14)
Yesu na watoto (15-17)
Mtawala tajiri auliza swali (18-30)
Kifo cha Yesu chatabiriwa tena (31-34)
Kipofu aliyekuwa akiombaomba aponywa (35-43)
19
Yesu amtembelea Zakayo (1-10)
Mfano wa mina kumi (11-27)
Yesu aingia kwa kishindo (28-40)
Yesu alililia jiji la Yerusalemu (41-44)
Yesu asafisha hekalu (45-48)
20
Wataka kujua chanzo cha mamlaka ya Yesu (1-8)
Mfano wa wakulima wauaji (9-19)
Mungu na Kaisari (20-26)
Swali kuhusu ufufuo (27-40)
Je, Kristo ni mwana wa Daudi? (41-44)
Onyo dhidi ya waandishi (45-47)
21
Sarafu mbili za mjane maskini (1-4)
ISHARA YA MAMBO YATAKAYOKUJA (5-36)
Vita, matetemeko makubwa ya ardhi, magonjwa, upungufu wa chakula (10, 11)
Yerusalemu lazingirwa na majeshi (20)
Nyakati zilizowekwa za mataifa (24)
Kuja kwa Mwana wa binadamu (27)
Mfano wa mtini (29-33)
Endeleeni kukesha (34-36)
Yesu afundisha hekaluni (37, 38)
22
Makuhani wapanga njama ya kumuua Yesu (1-6)
Matayarisho ya Pasaka ya mwisho (7-13)
Mlo wa Jioni wa Bwana waanzishwa (14-20)
‘Msaliti wangu yuko pamoja nami mezani’ (21-23)
Wabishana vikali kuhusu aliye mkuu zaidi (24-27)
Yesu afanya agano kwa ajili ya ufalme (28-30)
Yesu atabiri Petro atamkana (31-34)
Uhitaji wa kuwa tayari; panga mbili (35-38)
Yesu asali kwenye Mlima wa Mizeituni (39-46)
Yesu akamatwa (47-53)
Petro amkana Yesu (54-62)
Yesu adhihakiwa (63-65)
Kesi mbele ya Sanhedrini (66-71)
23
24
Yesu afufuliwa (1-12)
Wakiwa njiani kuelekea Emau (13-35)
Yesu awatokea wanafunzi (36-49)
Yesu apaa mbinguni (50-53)