Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Mapapa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mapapa
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
  • Vichwa vidogo
  • Mapapa Mbalimbali
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

MAPAPA

(Ona pia Kanisa Katoliki; Pontifex Maximus [Askofu Mkuu]; Vatikani)

dai la kwamba mapapa ni warithi wa mitume: w11 8/1 24-26; rs 360-367

mfuatano wa mapapa si kamili: rs 364

maelezo kuhusu Umoja wa Mataifa: re 243; rs 366; w97 5/1 15

mapapa waliunga mkono Ushirika wa Mataifa: re 242

mwanzo katika Kanisa Katoliki: w11 8/1 25

upotovu: re 208

Vita Vitakatifu (Krusedi): g97 10/8 13

ziara za mapapa zafanywa kuwa biashara: g 8/07 29; g03 5/22 29

Mapapa Mbalimbali

Aleksanda wa Sita (Rodrigo Borgia): w03 6/15 26-29

Benedikto wa Tisa: re 208

Benedikto wa 14:

akubali Biblia katika lugha za kienyeji (1757): w05 12/15 16; g03 9/8 22

Benedikto wa 16 (Joseph Ratzinger):

asadiki kwamba nadharia ya mageuzi ni ya kweli: g 5/08 30

asifu desturi ya Wayahudi ya kukataa kutumia jina la Mungu (2007): w08 7/1 30

atoa hotuba huko Auschwitz (2006): w07 5/15 32

barua ya “Caritas in Veritate”: g 5/10 30

viungo vyake haviwezi kutolewa ili kupandikizwa mtu mwingine: g 12/11 28

Damasusi:

amwomba Jerome asahihishe tafsiri ya Kilatini ya Vitabu vya Injili (382 W.K.): w09 4/1 20

Formoso: re 208

Gregori wa Kwanza (Mkuu):

atoa agizo Kanisa Katoliki likubali mazoea na desturi za kipagani: w99 3/15 25

Gregori wa Saba:

apinga kutafsiriwa kwa Biblia: g 12/11 6-7; w97 8/15 11

Gregori wa Tisa:

amri dhidi ya wazushi: w02 10/15 5

Innocent wa Tatu:

akataza usomaji wa Biblia: g 12/11 6-8

John Paul wa Pili:

aomba msamaha kwa dhambi za nyakati zilizopita: w98 3/1 3-7

asema kanisa halipaswi kulaumiwa kuhusiana na vita nchini Rwanda: g97 2/8 28

asema kwamba Maria alikuwa wa kwanza kumwona Kristo aliyefufuliwa: g98 1/8 29; g98 11/8 30

asema kwamba Mungu hataharibu ulimwengu: w98 2/15 32

asema kwamba Wakristo wanapaswa kutoa ushahidi: g99 2/22 3

asifu Umoja wa Mataifa: re 243; w97 5/1 15

atembelea Israeli (2000): w99 11/1 3

atembelea Kuba (1998): g98 8/22 28

atembelea Umoja wa Mataifa (1995): g96 7/8 22-25

aunga mkono tena nadharia ya mageuzi: g97 5/8 28; g97 5/22 28

awahimiza watu waisome Biblia: g98 10/8 17

dini nyingi zamuunga mkono katika maombi ya amani huko Assisi, Italia (2002): g02 10/22 4-8

maelezo yake kuhusu ukosefu wa haki: w03 10/1 4

maoni mapya kuhusu motoni (moto wa mateso): w02 7/15 3; g00 3/8 29

papa adai kwamba Maria alikufa kifo cha kawaida: w98 8/1 31

papa awahimiza wafuasi wahubiri nyumba kwa nyumba: w96 12/1 32

rozari yaongezewa duru ya nne (2002): g03 6/8 29

“Siku ya Ulimwengu ya Sala kwa Ajili ya Amani” (1986): re 249-251

Klementi wa Nane:

achapisha chapa mpya ya Vulgate ya Kilatini inayoitwa chapa ya Sixtus ya Klementi (1592): w09 4/1 22

awaruhusu Wakatoliki kunywa kahawa: g 3/06 20

Leo wa 13:

apinga Biblia za lugha za kienyeji na Biblia zisizokubaliwa na Kanisa Katoliki: g97 12/8 18

Lucius wa Tatu:

aanzisha Baraza la Kuhukumu Wazushi: g97 5/8 18

Paulo wa Tatu:

aanzisha Baraza la Kuwahukumu Wazushi (Milki ya Roma): g98 12/8 12-13; g97 5/8 18-19

Paulo wa Nne:

azuia watu wasiwe na Biblia katika lugha za kawaida: g 12/11 7

Index of Forbidden Books (Orodha ya Vitabu Vilivyokatazwa) (1559): w05 12/15 15; g03 9/8 21

Paulo wa Sita:

Umoja wa Mataifa ndilo tumaini la mwisho la upatano na amani (manukuu): re 243; rs 366; w97 5/1 15

Piusi wa Tisa:

atangazwa kuwa mtakatifu na Papa Yohana Paulo wa Pili: g01 3/22 28

Sergio wa Tatu: re 208

Sixtus wa Nne:

aanzisha Baraza la Kuhukumu Wazushi la Hispania: g97 5/8 18

Sixtus wa Tano:

amaliza usahihishaji wa Vulgate ya Kilatini (1590): w09 4/1 21-22

Stefano wa Sita: re 208

Stefano wa Saba: re 208

Urban wa Pili:

Vita Vitakatifu vya Kwanza: g97 10/8 13

Yohana wa Kumi na Mmoja: re 208

Yohana wa 12: re 208

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki