MATESO (Mnyanyaso)
(Ona pia Baraza la Kuhukumu Wazushi; Kambi za Mateso; Kutovumilia Maoni Tofauti; Marufuku; Vikundi Vyenye Ghasia; Wafia-Imani; nchi hususa)
Baraza la Kuhukumu Wazushi liliwatesa “wazushi”: g97 5/8 18-19, 21
‘dunia yameza’ mateso (Ufu 12:16): w09 1/15 32; bt 164; re 185-186
faraja wakati wa kuteswa: w03 5/1 18-19
jambo la kufanya mtu anapoyakabili mateso: w07 3/1 26-27; od 177-178; w03 10/1 14-18
inapofaa kukimbia (Mt 10:23): bt 95-96, 136-137; w02 4/15 32
‘kuwabariki wale wanaotesa’ (Ro 12:14): w09 10/15 10-11; w07 7/1 24
Mkristo anapotishwa kuuawa: bt 168
jinsi watu wanaoteswa wanavyokombolewa: bt 80; w05 12/15 23-24
kinachofanya Mungu aruhusu mateso: w03 10/1 13; jv 676-677
‘kusafisha’ (Isa 48:10): ip-2 127-129
‘kusafisha, kutakasa, kufanya weupe’ (Da 11:35): dp 274-275
kitulizo kilitabiriwa: re 185-186
kujitayarisha kukabili mateso: w11 1/15 27; w10 7/15 12-15
maagizo ya Yesu: w05 1/1 10
kusudi: w06 1/15 27-28; w05 8/15 16-17
kuteswa kwa Mashahidi wa Yehova: w07 12/15 22; re 39-43, 91-92; rs 195; w03 3/1 3-7; ip-2 395-396; w00 4/1 18-21; w98 6/15 17-18; w98 12/1 8, 13-14; jv 10, 642-677
barua za kupinga kuteswa kwa Mashahidi: yb12 184, 186; g03 1/8 31; jv 692-695
Kanisa Katoliki lachochea mateso: jv 492-494, 665-668
kinachofanya Mashahidi wateswe: g 5/11 20-21; w05 1/1 11; w04 11/1 14; w02 3/1 14
Mashahidi wamesitawi ijapokuwa wanateswa: w07 3/15 24; w07 12/15 21-22; w00 4/1 17-22; jv 552-553
Mashahidi wanavyotenda wanapoteswa: bt 40-41; w05 1/1 11; w05 12/15 22-24; w01 7/15 16-17, 19-20; w00 4/1 21; w98 9/1 16; w98 12/1 13-18; jv 448-458, 692-695
Mashahidi wateswa kwa sababu ya kutounga mkono siasa au vita: jv 669-675
mashtaka: w00 4/1 20-21
mataifa yote: jv 675-676
ndugu ulimwenguni pote wawasaidia kwa upendo wanaoteswa: jv 315-317
viongozi wa dini wanachochea mateso: bt 38
Vita vya Kwanza vya Ulimwengu: jv 69-70, 423-425, 552, 577, 647-652, 654-655, 675
Vita vya Pili vya Ulimwengu: w10 9/15 3-4; g00 4/22 19; dp 173, 175-176, 178; jv 448-458, 675-676
wawakilishi wa Shirika la Watch Tower (1918-1919): w08 9/15 8; g01 11/22 19-21; w00 4/1 19; w00 10/1 26-27; jv 69-75, 650-654
kuyavumilia mateso: w11 1/15 26-27; jr 84-85; bt 60-61; re 38-41; rs 108; w03 3/1 6-7; w03 10/1 14-19; km 3/02 6; w01 8/15 25-26; w98 5/15 17-18
umuhimu wa chakula cha kiroho: jv 450, 454
lengo: rq 9
Maangamizi Makubwa (enzi ya Wanazi):
Jumba la Makumbusho la Maangamizi Makubwa (Marekani): g05 3/8 15-18; g99 9/22 24-25
maelezo: w04 8/15 12-17; w03 10/1 9-19
mahali minyanyaso inapoanzia, Ukristo hukoma (manukuu): re 102
mambo yaliyoonwa:
barua ambazo Mashahidi waliandika kabla tu ya kuuawa: yb09 168-169; w07 7/15 31; w05 5/1 18; w03 1/15 32; g03 2/8 18; g03 3/8 31; w01 11/15 32; jv 662
dawa zatumiwa: yb06 119
kukubali kweli baada ya kuona mateso: yb12 181-182
mahojiano hayakufaulu: w04 11/1 27-28
mapipa yenye kutu yawekwa vichwani: w96 3/15 7
mpelelezi amwimarisha bila kukusudia Shahidi aliyefungwa: yb08 200-201
mwalimu amwita mvulana Shahidi Myahudi: g00 6/22 3
mwalimu mkuu apigwa kwa sababu ya kutounga mkono siasa: yb04 232
nchi ambako kazi ya kuhubiri imepigwa marufuku: w07 12/15 21
ndugu waliouawa na wafuasi wa Kimbilikiti (Zaire) (1983): yb04 223, 226-227
ofisa aliyewatesa Mashahidi: w06 6/15 11
roho ya Yehova inavyosaidia: w06 8/15 29; w01 5/1 16
shuleni: w01 8/15 26
umati wenye ghasia: w01 2/1 25-26
upinzani wa mume haukufanikiwa: yb12 86
vijana waliokuwa tayari kuteswa au kuuawa na askari-jeshi ili kazi ya uchapaji isikome: w99 2/1 12
wafukuzwa makwao: w00 9/15 8
wafungwa wanahubiri: yb12 72-73
walinzi wa gereza wanaopendezwa: yb08 54-55
waliokataa kuunga mkono vita au siasa: yb09 171-173, 176-177, 249-250; yb07 118-122; w05 10/1 18-20; w98 9/1 24-28
wenye furaha licha ya kufungwa: w01 5/1 15-16
manufaa: w06 9/1 14
masimulizi ya maisha:
Kudumisha Imani Chini ya Mnyanyaso wa Kimabavu (Muungano wa Sovieti): g00 9/22 19-23
Kumtumikia Mungu Licha ya Kukabiliwa na Kifo (Angola): g99 8/22 18-23
Licha ya Majaribu, Tumaini Langu Halijafifia (Hungaria): g02 4/22 19-24
Nilipata Majaribu Makali Sana (Krete, Ugiriki): w03 2/1 25-30
Nusu Karne Chini ya Utawala wa Kiimla (Muungano wa Sovieti): g99 2/22 10-13, 16
Zaidi ya Miaka 40 Chini ya Marufuku ya Ukomunisti (Muungano wa Sovieti): w99 3/1 24-29
mateso hayazuii kazi ya kuhubiri: bt 53, 55, 220-221
baada ya Stefano kuuawa: bt 52-53
mateso yalitabiriwa: re 183-186; w03 10/1 10-11
na Yesu: w04 11/1 13-17
uadui (Mwa 3:15): w08 11/15 27
‘wangechukiwa’ (Mt 24:9): rs 288-289; w02 3/1 14
mateso yanafananishwa na—
jinsi Ishmaeli alivyomtesa Isaka: w06 3/15 11-12
jua (Mt 13:6, 21): w03 2/1 11
mto uliotapikwa na joka (Ufu 12:15): re 184-186
mateso yanayosababishwa na joka (Ufu 12):
“alimtesa yule mwanamke” (Ufu 12:13): re 183-184
‘alitapika maji kama mto’ (Ufu 12:15): re 184-186
miaka 400 (Mwa 15:13): w04 1/15 27
mtazamo wa Wakristo kuhusu mateso: bt 60-61; od 213; w03 10/1 14; w02 2/1 16-17; w02 11/1 19; km 3/02 6; w01 6/1 15-16; w01 6/15 20; w01 7/15 16-17; w97 5/15 25; jv 642, 676-677
kusali kwa ajili ya watesaji (Mt 5:44): w05 12/15 23
mtazamo kuwahusu wenye mamlaka wanaoanzisha au kuruhusu mateso: w05 12/15 23-24; w98 9/1 16
silaha zinazofanywa juu yao ‘hazitafanikiwa’ (Isa 54:17): w08 9/15 7-8; w08 11/15 28; w07 12/15 21-25; ip-2 229-230
‘wenye kujihadhari kama nyoka, wasio na hatia kama njiwa’ (Mt 10:16): w96 7/15 22-23
wenye shangwe ijapokuwa wanateswa: w09 2/15 10; bt 40-41; w04 9/1 5; w04 11/1 13-18; w01 5/1 15-17; w01 7/15 19-20
shutuma: w96 7/15 22-23
ufafanuzi: w11 1/15 26-27
ujasiri wakati wa mateso: w03 2/1 11
kutowasaliti ndugu: w08 2/15 10
ushikamanifu wakati wa mateso: w06 5/1 30; w97 8/1 13-14
vijana:
kuvumilia mateso: w01 8/15 26
vikundi vya watu walioteswa:
Ndugu wa Poland (Wasosini): w00 1/1 21-23
Wafuasi wa Waldo: w02 3/15 20-23; g97 4/22 5-6
Wahuguenoti: w98 8/15 25-29
Wanabaptisti: w04 6/15 11-13
Waprotestanti nchini Ufaransa (miaka ya 1500 hadi 1700): g 3/11 12; g00 12/22 14-15
wauzaji wa vitabu (wasambazaji wa Biblia): g01 12/8 25-27
visababishi: w03 10/1 12-13
uzalendo (utaifa): re 42-43
visa katika Biblia: w02 2/15 16-17
maadui wapanga njama ya kumuua Danieli: w08 11/1 23
Paulo huko Damasko: w05 1/15 28-29
Paulo huko Efeso: bt 157, 163-164
Paulo huko Ikoniamu: bt 95-96
Paulo huko Korintho: bt 152-153, 167
Paulo huko Thesalonike: bt 135-137
Paulo huko Yerusalemu: bt 185-191
Paulo na Sila huko Filipi: bt 129-131
Wakristo wa mapema: w10 12/1 20; bt 44, 90, 92; jv 30-32, 642
Yeremia: jr 84-87
Yesu Kristo: w05 1/1 10-11
Wakristo wa mapema waliteswa: w11 11/15 18; re 101; w04 11/1 15; w03 10/1 11-12; w02 7/15 21-22; w99 5/1 4-5
barua kutoka kwa Plini Mdogo: w10 5/15 3; bt 26; w07 8/15 11; re 42
Herode Agripa wa Kwanza awatesa Wakristo: bt 77-78
katika Milki ya Roma: w98 12/1 11-13
maelezo ya Tasito: re 101
na Kaisari Galeriasi: w12 6/1 18, 20-21
waliteswa kwa sababu walikataa kuabudu miungu ya Waroma: w10 5/15 3, 5-6
waliteswa na Maliki Diokletiani: g 12/11 5; g 11/07 12-13
waliteswa na Maliki Domitiani: re 101
waliteswa na Maliki Nero: re 101
waliteswa na Maliki Trajani: w10 5/15 6; re 42, 62
waliteswa na Sauli (Paulo): bt 200; w05 5/15 26-27; w05 12/1 27; w99 6/15 29-31
waliteswa na waabudu wapagani: w98 12/1 11
waliteswa na Wayahudi: w10 12/1 20
walivyofanya walipoteswa: w03 10/1 17; w99 5/1 5