AMANI
(Ona pia Mikataba [Miafaka]; Mikutano na Makongamano Mbalimbali; Silaha [Kupunguza])
(Kuna vichwa vidogo: Wakristo; Wanadamu)
amani kwa wenye kuteseka: w97 4/15 3-7
amani pamoja na Mungu:
ni muhimu ili mtu akae kwa amani pamoja na wengine: w97 1/15 12
Wagibeoni wataka amani: w04 10/15 18
hakuna amani kwa waovu: ip-2 135, 273-274; w99 10/1 11
kinachofanya ‘Mungu wa amani’ apigane vita: cl 61-66
kupata amani ya akili: w09 7/1 10-12; w08 2/1 3-9; w05 7/1 3-7; w00 7/1 3-7; w96 1/1 4-7
maana ya maneno: w97 4/15 8
kufanya amani: w08 5/15 4
mambo yanayochangia: w96 1/1 17-18
kuomba msamaha: w02 11/1 4-7
wajumbe wa amani: w97 1/15 3-4
wajumbe wa ulimwengu: w97 5/1 13-18
watumishi wa Yehova: w97 1/15 4, 10-15; w97 5/1 18-23
“wakati wa amani” (Mhu 3:8): w99 10/1 10-11
Wakristo
agano la amani (Eze 37:26): w10 3/15 27-28
amani kutoka kwa Yehova: w96 1/1 8-11, 16-22
‘amani itakuwa waangalizi wako’ (Isa 60:17): ip-2 316, 318
“amani ya Mungu” (Flp 4:7): w09 7/1 11-12; w08 3/15 14; g01 7/22 14-15; w00 7/15 6; w97 4/15 5-6
‘jeuri haitakuwapo tena katika nchi yako’ (Isa 60:18): w02 7/1 17; ip-2 318
“kama mto” (Isa 48:18): lv 198-199
“wingi wa amani” (Zb 37:11): w03 12/1 13-14
amani kutoka kwa Yesu: w97 1/15 11-12
“ninawapa amani yangu” (Yoh 14:27): w97 4/15 12
amani pamoja na Wakristo wenzetu: w03 1/15 19-20; w01 9/1 11-12
kuwa mwenye kufanya amani: w11 8/15 23-31; w08 3/15 24-25
“kwanza fanya amani yako pamoja na ndugu yako” (Mt 5:23, 24): w09 2/15 10-11; w08 5/15 6-7; w02 3/15 5; w02 11/1 5-6; cl 222-223; w99 10/15 16; w96 7/15 18; g96 2/8 26-27
majukumu ya wazee Wakristo: w01 9/1 12-13
unapokosewa: w12 7/15 28-29; g 3/12 10-11; w11 4/15 23-24; w11 8/15 28-29; w10 6/15 17-18, 21-22; w09 11/15 22-24; w08 5/15 6-7; w08 11/15 17-19; lv 33-34; w07 3/1 27-28; jd 112-114; w05 3/1 3-7; od 144-146; w03 3/15 15, 19-20; w97 12/1 19; w96 7/15 18
amani pamoja na watu wengine: w01 9/1 9-10
katika huduma ya shambani: km 11/06 1; w01 7/15 13; w01 9/1 10-11; w97 1/15 14
kazini: g04 5/8 7-9
kutojiingiza katika ugomvi wa ulimwengu: w97 1/15 14; w97 4/15 14-16; g97 4/22 11
amani pamoja na Yehova: w11 8/15 24-25
familia: w07 9/1 29-30; w06 8/1 16-17; w01 9/1 11; w97 6/15 20-25; fy 128-141
familia za mzazi au watoto wa kambo: fy 136-139
familia zilizogawanyika kidini: w12 2/15 26-28; w09 10/15 8
‘kupatwa wakiwa katika amani’ (2Pe 3:14): w03 7/15 14-15
kuwa mwenye kufanya amani: g 8/12 8; w11 8/15 23-31; w09 2/15 9; w08 3/15 24-25; w08 5/15 4; g 5/06 28-29; w05 9/1 29-30; w04 5/15 27; w04 11/1 12-13; cl 222-223; w01 9/1 8-13
kusuluhisha matatizo: w12 7/15 28-29; g 3/12 10-11; w11 8/15 28-29; w10 6/15 21-22; w09 11/15 22-24; w05 3/1 4-7; w03 1/15 19-20; w01 8/15 26-27; w98 11/1 4-7
kuwa mwenye kufanya amani “na watu wote” (Ro 12:18): w09 10/15 9-10; w07 7/1 25; w01 9/1 8-10
mwenye nyumba anapokuwa mkali: km 12/12 1
si katika hali zote: w11 8/15 30-31
watoto: w07 12/1 17-20
wenye nyumba wanapotoa maoni yasiyopatana na Maandiko: km 1/08 8; km 11/06 1
maelezo: w07 7/15 22-23
makutanikoni: bt 114-115
mambo yaliyoonwa:
kutenda kwa amani kwabadili maoni ya wapinzani: w06 1/1 32
mpinzani avutiwa na amani kusanyikoni: w99 2/15 32
mtu na dada yake waungana tena: w02 4/15 21; w99 1/1 4-5
walioshinda chuki ya kijamii: w00 8/15 6
mambo yanayochangia:
imani: w03 1/15 19-20
sifa ya kiasi: w00 3/15 23-24
mifano: w97 4/15 15-16; w96 1/1 4-7
kufanya amani na wengine: w10 6/15 17; w09 5/15 11
mama aliyefiwa na mtoto: w09 7/1 11
Mashahidi wasifiwa: g97 10/8 11
msingi wa amani: w01 9/1 8; w99 10/1 11
kufundishwa na Yehova: ip-1 44-48; w97 4/15 13-15
ujuzi kumhusu Yehova (Isa 11:6-9): ip-1 163-164
upendo: w99 2/15 20-21
mtu binafsi:
‘kuacha amani ya Kristo itawale moyoni’ (Kol 3:15): w01 9/1 14-18
Wanadamu
“amani na usalama” (1Th 5:3): w12 9/15 3-4; g 4/08 7; re 250-251; w04 2/1 20-21; wt 182; w97 6/1 9-10
amani si ndoto tu: w97 4/15 11-12
jitihada za wanadamu zimeshindwa: w08 4/1 3-4; re 225-227; w04 1/1 5; g02 5/8 4-6, 8-9; g02 10/22 3; w99 10/1 10-11; g99 8/22 9-10; w97 4/15 8-11; w97 5/1 13-17; w96 1/1 3-4, 17-18
Alfred Nobel, mwanzilishi wa Tuzo la Nobeli: g02 5/8 3-5, 9
baada ya Vita Baridi (mizozo kati ya Muungano wa Sovieti na nchi za Magharibi): w00 11/1 32; g99 9/22 6; g96 4/22 3-6
kisiwa katika Ghuba ya Bengal: g 1/11 14
ujumbe wa Mashahidi ni tofauti: w97 1/15 3-4
Umoja wa Mataifa: w04 8/1 3-4; w01 1/1 32; w97 5/1 15-17
kinachoonekana kuwa maendeleo ya kuleta amani: g98 2/8 30; g96 4/22 3
shirika la Umoja wa Mataifa linavyohusika: g96 4/22 3
“‘kuna amani!’ wakati hakuna amani” (Yer 6:14; 8:11; Eze 13:10): w99 10/1 13-14
mambo yanayozuia amani isipatikane:
dini za uwongo: g 1/11 3-6; w97 5/1 14-15
maombi ya amani:
dini nyingi zaungana na Kanisa Katoliki huko Assisi, Italia (2002): g02 10/22 4-8
Kanisa Katoliki lapanga “Siku ya Ulimwengu ya Sala kwa Ajili ya Amani,” Assisi, Italia (1986): re 249-251
maoni ya Biblia: g02 10/22 8-9
msingi: w99 10/1 11; w97 1/15 11-12; w97 4/15 16-18
shirika la Umoja wa Mataifa: w99 4/15 32
limeshindwa kuleta amani: w04 8/1 3-4; w01 1/1 32; w97 5/1 15-17
Mkutano wa Milenia wa Viongozi wa Kidini na Kiroho Kuhusu Amani ya Ulimwengu (2000): w01 3/15 32
Mwaka wa Amani wa Kimataifa (1986): re 249-250
vikosi vya kudumisha amani: g99 8/8 28
Shirika la Usalama na Ushirikiano la Ulaya (OSCE): g97 8/22 31
ustadi wa kufanya mapatano hauwezi kuleta amani: g04 1/8 26-27
utalii unachangia amani: g05 8/22 3-4
Yehova ataleta amani: g02 5/8 9; w01 1/1 32; w99 4/15 32; w97 1/1 22; w97 4/15 8-19
amani kati ya wanadamu na wanyama: w12 9/15 9-10; g05 9/8 12; g04 12/8 30; ip-2 387-388; w00 4/15 17-18; ip-1 163-165
Isaya 11:6-9: w10 9/1 7-9; ip-1 161, 163-165
usimamizi utakaoleta amani: w06 2/15 21-25
Yesu anavyohusika katika kuleta amani: w06 12/15 4-7
“Mkuu wa Amani” (Isa 9:6): cf 23; ip-1 131-132