MARIA (Mama ya Yesu)
(Kuna kichwa kidogo: Desturi ya Kumwabudu Maria)
abeba mimba ya Yesu:
ulinzi wa roho takatifu: w02 3/15 19; cl 71-72
akimbilia Misri: w09 1/1 5
alikuwa pamoja na mitume Yerusalemu (Mdo 1:14): bt 18
amtembelea Elisabeti: w08 7/1 16-17
Maria amsifu Mungu: w09 11/15 10-11; w08 7/1 16; w03 12/15 7
apata mimba kimuujiza: bh 42; rs 182; lr 32-33; w02 3/15 19; g99 8/8 30; ct 145-146
kama yai la uzazi la Maria lilihusika: w08 3/15 30
kilichofanya Maria apewe pendeleo la kumzaa Yesu: w11 12/15 22-23
asafiri kwenda Yerusalemu pamoja na familia yake: w09 1/1 6
Yesu alipokuwa na miaka 12: w09 1/1 6-7
bikira kabla ya kumzaa Yesu: rs 182
Gabrieli amtembelea: w09 1/1 3; bm 19; w08 7/1 14-16; my 84
hali yake ya kiroho: w11 1/15 16; w09 1/1 6-7; w03 12/15 6-7; w02 12/15 6
jukumu lake mbinguni: w09 1/1 10
kifo: w98 8/1 31
kifo cha Yesu:
kilichofanya watoto wa Maria wasikabidhiwe daraka la kumtunza: cf 167
kilivyomwathiri Maria: w09 1/1 8-9
Yohana akabidhiwa daraka la kumtunza Maria: cf 165, 167; cl 291-292; ct 161
kifo cha Yosefu: w12 4/1 27; w09 1/1 7
kuzaliwa kwa Yesu: w09 1/1 4; w08 10/1 22-25; my 85; lr 33-35
Maria atoa dhabihu ya ndege hekaluni baadaye: w09 1/1 5; w08 10/1 25; w03 12/15 4-5; w00 2/15 12
uchungu wa kuzaa wa Maria: w08 10/1 23
maelezo: w09 1/1 3-10; w08 7/1 14-17; rs 181-187; g96 5/8 20-22
maoni ya Yesu kumhusu: w09 1/1 9; rs 186; w00 9/15 11
“nina nini nawe, mwanamke?” (Yoh 2:4): w08 4/15 31; w06 12/1 30-31; w00 9/15 11
mwanafunzi wa Yesu: w09 1/1 7
unabii wa Simeoni kumhusu: w03 12/15 6-7
watoto: w10 4/1 13; w09 1/1 5-6; rs 182-183; w03 12/15 3; lr 222; g96 5/8 20-22
maelezo ya msomi wa dini wa Kanisa Katoliki: w03 12/15 3
watu wa ukoo (jamaa):
labda Salome alikuwa dada yake: w08 12/1 5
Yesu hakurithi kutokamilika: w08 7/1 15; w02 3/15 19; g99 8/8 30
Yosefu alitaka kumtaliki Maria: w09 1/1 3-4; w09 12/1 16; w08 7/1 17
Desturi ya Kumwabudu Maria
baraza la Pili la Vatikani: rs 185-186
“bikira sikuzote”: w10 4/1 13; w09 1/1 6; rs 182-183; w03 12/15 3; w97 10/15 31
Bikira wa Guadalupe: g 3/08 22-23; w02 11/15 3
chanzo cha kipagani: rs 186-187
chanzo katika Kanisa Katoliki: w09 11/1 8; rs 184-185
desturi ya kusali kwa Maria: w09 1/1 9-10; g 7/06 30; g05 9/8 26-27; rs 185
fundisho kuhusu Mkingiwa Dhambi ya Asili: rs 184
papa adai Maria alikufa kifo cha kawaida ijapokuwa inasemekana alikingiwa dhambi: w98 8/1 31
toleo la dhambi la Maria linathibitisha kwamba hakukingiwa dhambi: w09 1/1 5
fundisho la kuchukuliwa mbinguni kwa Maria (kupazwa): rs 184-185
kama alikuwa wa kwanza kumwona Yesu aliyefufuliwa: g98 1/8 29; g98 11/8 30
maelezo: w09 1/1 9-10; rs 182-187
“malkia wa mbinguni”: w09 1/1 10
“mama ya Mungu”: w09 11/1 8; w04 12/15 28; rs 183-184; g96 1/8 26-27
mambo yaliyoonwa:
polisi wauliza maswali kumhusu “Bikira Maria”: jv 487
maoni ya Biblia: rs 182-186
Maria “atokea”:
umbo latokea kwenye ukuta wa kituo cha magari-moshi (Mexico): g98 3/22 29
sanamu za Maria: rs 185-186
“miujiza” inayohusisha sanamu za Maria: g98 3/8 31
Wakristo wa mapema hawakumsujudia: rs 186
Yesu hakumwabudu: w09 1/1 9; rs 186