Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Wimbo wa Sulemani 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Wimbo wa Sulemani

    • KIJANA MWANAMUKE MUSHULAMI KATIKA KAMBI YA SULEMANI (1:1–3:5)

        • Wimbo wa nyimbo (1)

        • Kijana mwanamuke (2-7)

        • Mabinti wa Yerusalemu (8)

        • Mufalme (9-11)

          • “Tutakutengenezea mapambo ya zahabu” (11)

        • Kijana mwanamuke (12-14)

          • ‘Mupenzi wangu ni kama mufuko wa manemane wenye harufu ya muzuri’ (13)

        • Muchungaji (15)

          • “Uko mwenye sura na umbo ya muzuri, mupenzi wangu”

        • Kijana mwanamuke (16, 17)

          • “Uko mwenye sura na umbo ya muzuri, mupenzi wangu” (16)

Wimbo wa Sulemani 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Wimbo wa muzuri kuliko nyimbo zote.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 4:29, 32

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 17

    “Kila Andiko,” uku. 115

Wimbo wa Sulemani 1:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 4:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2015,

    uku. 30-31

    15/11/2006, uku. 18

Wimbo wa Sulemani 1:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 27:9; Mhu. 9:8; Wim 5:5
  • +Mhu. 7:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2015,

    uku. 30-31

    5/11/2006, uku. 18

Wimbo wa Sulemani 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Unikokote.”

  • *

    Ao “Tusimulie.”

  • *

    Ni kusema, vijana wanamuke.

Wimbo wa Sulemani 1:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 120:5; Eze 27:21
  • +Kut 36:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 18

Wimbo wa Sulemani 1:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/1/2015, uku. 32

Wimbo wa Sulemani 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye nafsi yangu inapenda.”

  • *

    Ao “kitambaa cha kufunika kichwa wakati wa maombolezo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 6:3

Wimbo wa Sulemani 1:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “farasi-dike wangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:28; 2Nya 1:16, 17; Wim 6:4

Wimbo wa Sulemani 1:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kati ya nywele zenye kusukwa.”

Wimbo wa Sulemani 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mapambo ya muviringo.”

Wimbo wa Sulemani 1:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nardo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 4:13, 14

Wimbo wa Sulemani 1:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 30:23, 25; Est 2:12; Zab 45:8; Wim 4:6; 5:13

Wimbo wa Sulemani 1:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 4:13
  • +Yosh. 15:20, 62; 1 Sa. 23:29; 2Nya 20:2

Wimbo wa Sulemani 1:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 4:1; 5:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/11/2006, uku. 18

Wimbo wa Sulemani 1:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “murembo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Wim 5:10

Wimbo wa Sulemani 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba yetu kubwa.”

Maandiko ingine

Wim. 1:11 Fal. 4:29, 32
Wim. 1:2Wim 4:10
Wim. 1:3Mez. 27:9; Mhu. 9:8; Wim 5:5
Wim. 1:3Mhu. 7:1
Wim. 1:5Zab 120:5; Eze 27:21
Wim. 1:5Kut 36:14
Wim. 1:7Wim 6:3
Wim. 1:91 Fal. 10:28; 2Nya 1:16, 17; Wim 6:4
Wim. 1:12Wim 4:13, 14
Wim. 1:13Kut 30:23, 25; Est 2:12; Zab 45:8; Wim 4:6; 5:13
Wim. 1:14Wim 4:13
Wim. 1:14Yosh. 15:20, 62; 1 Sa. 23:29; 2Nya 20:2
Wim. 1:15Wim 4:1; 5:2
Wim. 1:16Wim 5:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Wimbo wa Sulemani 1:1-17

Wimbo wa Sulemani

1 Wimbo wa nyimbo,* ambao ni wa Sulemani:+

 2 “Anibusu kwa busu za kinywa chake,

Kwa maana maonyesho yako ya upendo ni ya muzuri zaidi kuliko divai.+

 3 Harufu ya mafuta yako ni yenye kupendeza.+

Jina lako ni kama mafuta yenye harufu ya muzuri yenye yanamwangwa.+

Ndiyo sababu vijana wanamuke wanakupenda.

 4 Unishike tuende pamoja;* tukimbie.

Mufalme ameniingiza katika vyumba vyake vya ndani!

Tufurahi na kushangilia katika wewe.

Tusifu* maonyesho yako ya upendo kuliko divai.

Ndio maana wao* wanakupenda.

 5 Mimi ni mweusi, lakini mwenye kupendeza, Enyi mabinti wa Yerusalemu,

Kama mahema ya Kedari,+ kama vitambaa vya mahema+ ya Sulemani.

 6 Musinishangae kwa sababu mimi ni mweusi,

Kwa sababu jua limeniangalia sana.

Wana wa mama yangu walinikasirikia;

Walinifanya kuwa mulinzi wa mashamba ya mizabibu,

Lakini sikulinda shamba langu mwenyewe la mizabibu.

 7 Uniambie, wewe mwenye ninapenda* sana,

Mahali unakulishia kundi lako,+

Mahali unawalalisha katikati ya muchana.

Sababu gani nikuwe kama mwanamuke mwenye amejifunika kitambaa cha kufunika kichwa*

Kati ya makundi ya wenzako?”

 8 “Kama haujue, Ee mwanamuke mwenye sura na umbo ya muzuri sana kuliko wanamuke wote,

Uende ukifuata njia za kundi

Na ukulishe mbuzi wako wadogo karibu na mahema ya wachungaji.”

 9 “Mupenzi wangu, ninakufananisha na farasi-dike* kati ya magari ya Farao.+

10 Mashavu yako yanapendeza kwa mapambo,*

Shingo yako kwa kamba za shanga.

11 Tutakutengenezea mapambo* ya zahabu

Yenye kupambwa kwa feza.”

12 “Wakati mufalme anakaa kwenye meza yake ya muviringo,

Marashi* yangu+ yanatoa harufu yake ya muzuri.

13 Mupenzi wangu ni kama mufuko wa manemane wenye harufu ya muzuri;+

Analala katikati ya maziwa yangu.

14 Mupenzi wangu ni kama fungu la maua ya hina+

Kati ya mashamba ya mizabibu ya En-gedi.”+

15 “Angalia! Uko mwenye sura na umbo ya muzuri, mupenzi wangu.

Angalia! Uko mwenye sura na umbo ya muzuri. Macho yako ni kama ya njiwa.”+

16 “Angalia! Uko mwenye sura na umbo ya muzuri,* mupenzi wangu, na unapendeza sana.+

Kitanda chetu kiko kati ya majani.

17 Nguzo za nyumba yetu* ni miti ya mierezi,

Miti ya sehemu ya juu ya nyumba yetu ni miti ya miberoshi.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine