Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 8/05 uku. 5
  • Kujikumbusha Mkusanyiko Wa Mzunguko

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kujikumbusha Mkusanyiko Wa Mzunguko
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2005
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Mpango Mpya Kuhusu Kujikumbusha Programu za Mikusanyiko
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
  • Kujikumbusha Kusanyiko La Pekee La Siku Moja
    Huduma Yetu ya Ufalme—2005
  • Kujikumbusha Mkusanyiko wa Mzunguko
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
  • Programu Mpya ya Mkusanyiko wa Mzunguko
    Huduma Yetu ya Ufalme—2005
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2005
km 8/05 uku. 5

Kujikumbusha Mkusanyiko Wa Mzunguko

Habari hii itatumiwa kwenye programu ya Mkutano wa Utumishi muda mfupi kabla na baada ya kutaniko kuhudhuria mkusanyiko wa mzunguko katika mwaka wa utumishi wa 2006. Mwangalizi msimamizi atafanya mpango ili maulizo hayo yazungumziwe kimbele na yatumiwe kwa kujikumbusha, kama ilivyoonyeshwa katika Huduma Yetu ya Ufalme ya Agosti 2004, ukurasa wa 4. Wakati wa kujikumbusha huko, maulizo yote yachunguzwe, kazieni jinsi tunavyoweza kutumia katika maisha habari iliyotolewa.

SIKU YA KWANZA YA MKUSANYIKO

1. Namna gani tunajivika utu mpya, na kwa nini tunapaswa kuulinda?

2. Jinsi gani wahubiri fulani wameongeza ushirika wao katika kazi ya kuhubiri?

3. Kwa nini tunapaswa kuepuka kujilinganisha na wengine?

4. Namna gani washiriki wa familia wanaweza kuonyesha utu mpya katika familia?

5. Tunawezaje kutegemeza kutaniko kwa uaminifu?

6. Kwa nini tunahitaji kuonyesha utu mpya katika huduma ya shambani?

7. Kutafakari kunakofaa kunatia ndani nini, na tunafaidikaje kutokana na kutafakari huko?

8. Ni sifa gani zinazofanya tuwe laini Katika mikono ya Yehova?

SIKU YA PILI YA MKUSANYIKO

9. Ni jambo la maana namna gani kwamba tutumie ulimi wetu ifaavyo.

10. Ni faida gani zinazotokana na kutumia usemi unaofaa pamoja na wafanyakazi wenzetu, wanashule wenzetu, na wengine?

11. Tunawezaje kutumia shauri la Paulo kwenye Waefeso 4:25-32 katika kushughulika na Wakristo wenzetu?

12. Ni matumizi ya namna gani ya ulimi wetu yaliyo yenye kuheshimika sana?

13. Tunapaswa kufanya nini ili kupinga yule mwovu?

14. Ni katika sehemu gani tunapaswa kujitahidi kubaki bila doa kutokana na ulimwengu?

15. Kwa nini tunapaswa kila siku kufanya upya utu wetu wa ndani, na namna gani tunaweza kufanya hivyo?

16. Ni shauri gani kutokana na programu ya mkusanyiko wa mzunguko wa mwaka huu unalopangia kutumia maishani?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine