Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 9/09 uku. 4
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2009
km 9/09 uku. 4

Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Mnara wa Mlinzi 01/09/09

“Watu wengi wanafikiri kwamba habari ya Adamu na Hawa ni ya kuwazia tu. Wengine wanaamini kwamba Adamu na Hawa ni watu ambao waliishi kweli. Unafikiri namna gani? [Acha mutu ajibu.] Ona jinsi Yesu alisema. [Soma Marko 10:6-9.] Habari hii inahakikisha kwamba Adamu na Hawa waliishi kweli na kwamba mambo tunayoamini kuwahusu ni ya maana.” Onyesha habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 12.

Amkeni! Mwezi wa 9

Soma 1 Yohana 4:8. Kisha useme hivi: “Watu fulani wanaamini kwamba Mungu anatesa waovu milele katika moto wa mateso. Wengine wanaona kwamba wazo kama hilo halipatani na mambo ambayo tunatoka kusoma. Unafikiri namna gani? [Acha mutu ajibu.] Habari hii inaonyesha yale ambayo Biblia inafundisha kuhusu jambo hilo.” Onyesha habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 10.

Mnara wa Mlinzi 01/10/09

“Sisi wote tunapatwa na magumu katika maisha. [Taja magumu fulani yaliyo ya kawaida katika eneo lenu.] Je, unafikiri kwamba Mungu anaweza kutusaidia tunapopatwa na magumu hayo? [Acha mutu ajibu.] Katika andiko hili, Yesu anaonyesha njia moja ambayo Mungu anatumia ili kutusaidia. [Soma Luka 11:13.] Gazeti hili linaeleza roho takatifu ni nini na jinsi inavyoweza kutusaidia.”

Amkeni! Mwezi wa 10

“Kila familia inapatwa kweli na matatizo. Unafikiri familia zinaweza kupata wapi mashauri yenye kufaa na yenye kutegemeka? [Acha mutu ajibu. Kisha soma Zaburi 32:8.] Amkeni! hii ya pekee inazungumzia kanuni mbalimbali za Biblia zilizo wazi ambazo zitasaidia watu wa familia nyingi, ikiwa wanazitumia.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine