Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 10/09 uku. 4
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2009
km 10/09 uku. 4

Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Mnara wa Mlinzi 01/10/09

“Watu wengi leo hawaamini tena kwamba kuna Muumba. Unafikiri ni kwa nini hivyo? [Acha mutu ajibu.] Andiko hili linaonyesha sababu moja. [Soma Habakuki 1:2, 3.] Habari hii inasaidia kujibu maulizo fulani ambayo watu wanajiuliza mara kwa mara kumhusu Mungu, maulizo ambayo yamewafanya waache kumwamini.” Onyesha habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 11.

Amkeni! Mwezi wa 10

“Familia zinapatwa na matatizo mengi leo. Je, unakubaliana na jambo hilo? [Acha mutu ajibu.] Watu wengi hawajui kwamba Biblia inatoa mashauri yanayofaa. Ona mfano mmoja. [Soma andiko moja katika gazeti.] Amkeni! hii ya pekee inaonyesha jinsi kanuni za Biblia zinavyoweza kusaidia watu wa familia mbalimbali washinde matatizo mengi.”

Mnara wa Mlinzi 01/11/09

“Je, unafikiri kwamba mambo yote yanayofundishwa katika makanisa yanatoka katika Biblia? [Acha mutu ajibu.] Biblia inatuonya tuwe waangalifu ili tusidanganywe na mafundisho ya uongo. [Soma Wakolosai 2:8.] Gazeti hili linazungumzia aina sita ya mafundisho ambayo watu wameamini lakini ambayo hayapatane na Neno la Mungu.”

Amkeni! Mwezi wa 11

“Vyombo kama vile telefone na ordinatere vinatumiwa na watu wengi leo. Je, unafikiri kwamba vyombo vya teknolojia vinatusaidia tukomboe wakati ao vinatupotezea wakati? [Acha mutu ajibu.] Watu wengi wanakubaliana na andiko hili linalotushauria tutumie wakati kwa hekima. [Soma Waefeso 5:15, 16.] Gazeti hili linazungumzia jinsi tunavyoweza kutumia vyombo vya teknolojia kwa hekima na kwa usawaziko.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine