Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 10/10 uku. 4
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
  • Tuseme Nini Kuhusu Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 10/10 uku. 4

Tuseme Nini Kuhusu Magazeti

Mnara wa Mlinzi 01/10/10

“Watu wengi wanajiuliza ikiwa Mungu anaona huzuni na mahangaiko yetu. Wewe unafikiri nini? [Acha mutu ajibu. Kisha soma Zaburi 34:18.] Habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 19 inazungumzia jinsi Mungu anavyotusaidia ili tushinde mawazo yasiyofaa kama vile kujisikia kuwa hatufai, kujilaumu kupita kiasi, na kuwa na huzuni kubwa.”

Amkeni! Mwezi wa 10

“Watu fulani wanafikiri kwamba Mungu si mutu halisi. Wengine wanamwona kuwa mutu kabisa anayeweza kuhuzunika, kusikia uchungu, na hata kufurahi. Wewe unafikiri nini kuhusu jambo hilo? [Acha mutu ajibu.] Ona wazo nzuri la andiko hii. [Soma 1 Petro 5:6, 7.] Habari inayoanzia kwenye ukurasa wa 29 inatoa maoni ya Biblia kuhusu ulizo, Je, Mungu ni mutu halisi?”

Mnara wa Mlinzi 01/11/10

“Kila mmoja wetu anataka ajisikie kuwa mwenye kutosheka maishani. Je, unafikiri tunahitaji feza ili tutosheke maishani? [Acha mutu ajibu.] Mwandikaji mmoja wa Biblia alijifunza jinsi ya kutosheka na kidogo aliyokuwa nayo. [Soma Wafilipi 4:11, 12.] Gazeti hili linatoa siri tano zilizo katika Biblia zinazoweza kutusaidia tuwe wenye kutosheka.”

Amkeni! Mwezi wa 11

“Watu fulani wasioamini kuwapo kwa Mungu wanaona kwamba watu wanaweza kuishi vizuri ulimwenguni bila kutegemea dini kwa kuwa mambo mabaya yanafanywa kwa jina la Mungu. Wewe unawaza nini kuhusu jambo hilo? [Acha mutu ajibu.] Ona jambo moja linaloonyesha kwa nini dini ya uongo imekuwa chanzo za mateso. [Soma 2 Timotheo 4:3, 4.] Gazeti hili linazungumzia namna wale wasioamini kuwapo kwa Mungu wanavyokosea katika mawazo yao.”

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine