- Habari za Kufanana na Zile
KUMBUKUMBU LA TORATI
HABARI ZENYE KUWA NDANI
1
Kuondoka kwenye Mulima Horebu (1-8)
Wakubwa na waamuzi wanawekwa (9-18)
Watu wanakosa kutii kule Kadesh-barnea (19-46)
2
3
Ushindi juu ya Mufalme Ogu wa Bashani (1-7)
Kugawanya inchi upande wa mashariki wa Yordani (8-20)
Yoshua anaambiwa asiogope (21, 22)
Musa hataingia katika inchi hiyo (23-29)
4
Wanaambiwa watii (1-14)
Yehova anataka watu washikamane na yeye tu (15-31)
Hakuna Mungu mwingine isipokuwa Yehova (32-40)
Miji ya makimbilio upande wa mashariki wa Yordani (41-43)
Wanapewa Sheria (44-49)
5
Agano la Yehova kule Horebu (1-5)
Amri Kumi zinarudiliwa (6-22)
Watu wanaogopa kwenye Mulima Sinai (23-33)
6
Umupende Yehova kwa moyo wako wote (1-9)
“Sikiliza, Ee Israeli” (4)
Wazazi wanapaswa kufundisha watoto (6, 7)
Usimusahau Yehova (10-15)
Musimujaribu Yehova (16-19)
Ambia kizazi chenye kufuata (20-25)
7
Mataifa saba yenye yanapaswa kuharibiwa (1-6)
Sababu gani Israeli alichaguliwa (7-11)
Utii utawaletea matokeo ya muzuri wakati wenye kuja (12-26)
8
9
10
11
Mumeona ukubwa wa Yehova (1-7)
Inchi Yenye Iliahidiwa (8-12)
Zawabu za kutii (13-17)
Maneno ya Mungu yakaziwe katika mioyo (18-25)
“Baraka na laana” (26-32)
12
Muabudu mahali kwenye Mungu anachagua (1-14)
Wanaruhusiwa kula nyama lakini hapana damu (15-28)
Usinaswe katika mutego wa miungu mingine (29-32)
13
14
Njia zenye hazifae za kuomboleza (1, 2)
Vyakula vyenye kuwa safi na vyenye haviko safi (3-21)
Sehemu moja ya kumi kwa ajili ya Yehova (22-29)
15
Madeni yanaachiliwa kila mwaka wa saba (1-6)
Kusaidia maskini (7-11)
Kuachilia huru watumwa kila mwaka wa saba (12-18)
Wazaliwa wa kwanza wa wanyama wanatakaswa (19-23)
16
Pasaka; Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu (1-8)
Sikukuu ya Majuma (9-12)
Sikukuu ya Vibanda (13-17)
Kuweka waamuzi (18-20)
Vitu vya ibada vyenye kukatazwa (21, 22)
17
Zabihu hazipaswe kuwa na kasoro (1)
Kushugulikia mambo ya uasi-imani (2-7)
Kuamua mambo yenye kuwa nguvu (8-13)
Maagizo kwa ajili ya mufalme mwenye atatawala (14-20)
18
Fungu la makuhani na Walawi (1-8)
Mazoea ya kupashana habari na pepo wachafu yanakatazwa (9-14)
Nabii kama Musa (15-19)
Namna ya kutambua manabii wa uongo (20-22)
19
Hatia ya damu na miji ya makimbilio (1-13)
Alama za mipaka hazipaswe kuhamishwa (14)
Mashahidi katika tribinali (15-21)
20
21
Mauaji yenye yalifanywa na watu wenye hawajulikane (1-9)
Kuoa wanamuke wenye walikamatwa mateka (10-14)
Haki ya muzaliwa wa kwanza (15-17)
Mwana mwenye iko kichwa-nguvu (18-21)
Mutu mwenye alitundikwa kwenye muti amelaaniwa (22, 23)
22
Kuheshimia wanyama wa majirani (1-4)
Mwanaume kuvaa nguo za mwanamuke na mwanamuke kuvaa nguo za mwanaume (5)
Kutendea wanyama muzuri (6, 7)
Ukuta mufupi kwa ajili ya sehemu ya juu ya nyumba (8)
Michanganyiko yenye haifae (9-11)
Mafundo kwenye nguo (12)
Sheria kuhusu kuvunja kanuni katika mambo ya ngono (13-30)
23
Wenye hawaruhusiwe katika kutaniko la Mungu (1-8)
Usafi wa kambi (9-14)
Watumwa wenye walikimbia (15, 16)
Ukahaba unakatazwa (17, 18)
Kulipisha faida na naziri (19-23)
Vitu vyenye wapita-njia wanaruhusiwa kula (24, 25)
24
Ndoa na kuvunja ndoa (1-5)
Kuheshimia uzima (6-9)
Kuhangaikia maskini (10-18)
Sheria kuhusu kuokota masalio (19-22)
25
Sheria kuhusu kumupiga mutu viboko (1-3)
Usimufunge kinywa ngombe-dume wakati anakanyanga-kanyanga nafaka (4)
Ndoa ya mutu na shemeki yake (5-10)
Kumukamata mutu sehemu zenye haifae kukamata wakati anapigana (11, 12)
Majiwe ya kupimia na vipimo vyenye kuwa sawa (13-16)
Waamaleki wanapaswa kuharibiwa (17-19)
26
Kutoa matunda ya kwanza (1-11)
Sehemu moja ya kumi yenye ilitolewa mara ya pili (12-15)
Israeli ni mali ya pekee ya Yehova (16-19)
27
Sheria itaandikwa kwenye majiwe (1-10)
Kwenye Mulima Ebali na Mulima Gerizimu (11-14)
Laana zinatangazwa (15-26)
28
29
30
Kumurudilia Yehova (1-10)
Amri za Yehova haziko nguvu sana (11-14)
Kuchagua kati ya uzima na kifo (15-20)
31
Musa anakaribia kufa (1-8)
Sheria inapaswa kusomwa mbele ya watu (9-13)
Yoshua anawekwa katika madaraka (14, 15)
Uasi wa Israeli unatabiriwa (16-30)
32
33
34