Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 68
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • ‘Maadui wa Mungu na watawanyike’

        • “Baba wa mayatima” (5)

        • Mungu huwapa makao walio wapweke (6)

        • Wanawake wanatangaza habari njema (11)

        • Wanaume kuwa zawadi (18)

        • ‘Yehova hutubebea mzigo wetu kila siku’ (19)

Zaburi 68:1

Marejeo

  • +Hes 10:35; Zb 21:8

Zaburi 68:2

Marejeo

  • +Nah 1:6

Zaburi 68:3

Marejeo

  • +Zb 32:11

Zaburi 68:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “lipigieni muziki.”

  • *

    Au labda, “juu ya mawingu.”

  • *

    “Yah” ni ufupisho wa jina Yehova.

Marejeo

  • +Isa 12:4
  • +Kut 6:3

Zaburi 68:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwamuzi.”

Marejeo

  • +Kut 22:22-24; Kum 10:17, 18; Zb 10:14; 146:9
  • +Isa 57:15

Zaburi 68:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “waasi.”

Marejeo

  • +Zb 113:9
  • +Isa 61:1
  • +Kum 28:15, 23; Zb 107:33, 34

Zaburi 68:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ulipotangulia mbele ya.”

Marejeo

  • +Kut 13:21

Zaburi 68:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “zilidondosha.”

Marejeo

  • +Zb 114:1, 4; Ebr 12:26
  • +Kut 19:18; Amu 5:4, 5

Zaburi 68:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Uliutia nguvu tena urithi wako.”

Zaburi 68:10

Marejeo

  • +Hes 10:34

Zaburi 68:11

Marejeo

  • +Kut 15:20; Amu 5:1; 11:34; 1Sa 18:6

Zaburi 68:12

Marejeo

  • +Hes 31:25-27; Yos 10:12, 16; 12:7; Amu 5:19
  • +Hes 31:27; 1Sa 30:23-25

Zaburi 68:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “katikati ya mazizi ya kondoo.”

  • *

    Au “yenye mchanganyiko wa rangi ya manjano na kijani kibichi.”

Zaburi 68:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Ni kana kwamba theluji ilianguka Salmoni.”

Marejeo

  • +Hes 21:3; Yos 10:5, 10

Zaburi 68:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ni mlima mrefu.”

Marejeo

  • +Hes 21:33; Kum 3:8, 10

Zaburi 68:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anatamani uwe.”

Marejeo

  • +1Nya 11:5; Zb 48:2, 3; 132:13
  • +Kum 12:5, 6; 1Fa 9:3; Ebr 12:22

Zaburi 68:17

Marejeo

  • +2Fa 6:16, 17; Mt 26:53
  • +Kut 19:23; Kum 33:2

Zaburi 68:18

Marejeo

  • +2Sa 5:7
  • +Efe 4:8, 11
  • +Kum 2:36; 7:22

Zaburi 68:19

Marejeo

  • +Zb 55:22; 1Pe 5:6, 7

Zaburi 68:20

Marejeo

  • +Isa 12:2; 45:17
  • +Kum 32:39

Zaburi 68:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “anayetembeatembea katika.”

Marejeo

  • +Zb 55:23; Eze 18:26

Zaburi 68:22

Marejeo

  • +Hes 21:33

Zaburi 68:23

Marejeo

  • +Zb 58:10

Zaburi 68:24

Marejeo

  • +1Nya 15:25, 28; Zb 24:7

Zaburi 68:25

Marejeo

  • +1Nya 15:16; Zb 87:7; 150:3
  • +Amu 11:34; 1Sa 18:6

Zaburi 68:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Katika makusanyiko.”

Marejeo

  • +Zb 95:6; Isa 44:2

Zaburi 68:27

Marejeo

  • +Mwa 49:27; 1Sa 9:21

Zaburi 68:28

Marejeo

  • +Zb 138:8

Zaburi 68:29

Marejeo

  • +1Fa 6:1; 1Nya 16:1; Ezr 5:14
  • +1Fa 10:10; 2Nya 32:23; Zb 72:10

Zaburi 68:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “yakikanyagia chini.”

Marejeo

  • +Eze 39:18

Zaburi 68:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Mabalozi watatoka.”

Marejeo

  • +Isa 45:14; 60:5

Zaburi 68:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mpigieni muziki.”

Marejeo

  • +Kum 32:43

Zaburi 68:33

Marejeo

  • +Zb 104:3

Zaburi 68:34

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mawinguni.”

Marejeo

  • +Zb 96:7

Zaburi 68:35

Marejeo

  • +Zb 47:2; 66:5
  • +Zb 29:11; Isa 40:29-31

Jumla

Zab. 68:1Hes 10:35; Zb 21:8
Zab. 68:2Nah 1:6
Zab. 68:3Zb 32:11
Zab. 68:4Isa 12:4
Zab. 68:4Kut 6:3
Zab. 68:5Kut 22:22-24; Kum 10:17, 18; Zb 10:14; 146:9
Zab. 68:5Isa 57:15
Zab. 68:6Zb 113:9
Zab. 68:6Isa 61:1
Zab. 68:6Kum 28:15, 23; Zb 107:33, 34
Zab. 68:7Kut 13:21
Zab. 68:8Zb 114:1, 4; Ebr 12:26
Zab. 68:8Kut 19:18; Amu 5:4, 5
Zab. 68:10Hes 10:34
Zab. 68:11Kut 15:20; Amu 5:1; 11:34; 1Sa 18:6
Zab. 68:12Hes 31:25-27; Yos 10:12, 16; 12:7; Amu 5:19
Zab. 68:12Hes 31:27; 1Sa 30:23-25
Zab. 68:14Hes 21:3; Yos 10:5, 10
Zab. 68:15Hes 21:33; Kum 3:8, 10
Zab. 68:161Nya 11:5; Zb 48:2, 3; 132:13
Zab. 68:16Kum 12:5, 6; 1Fa 9:3; Ebr 12:22
Zab. 68:172Fa 6:16, 17; Mt 26:53
Zab. 68:17Kut 19:23; Kum 33:2
Zab. 68:182Sa 5:7
Zab. 68:18Efe 4:8, 11
Zab. 68:18Kum 2:36; 7:22
Zab. 68:19Zb 55:22; 1Pe 5:6, 7
Zab. 68:20Isa 12:2; 45:17
Zab. 68:20Kum 32:39
Zab. 68:21Zb 55:23; Eze 18:26
Zab. 68:22Hes 21:33
Zab. 68:23Zb 58:10
Zab. 68:241Nya 15:25, 28; Zb 24:7
Zab. 68:251Nya 15:16; Zb 87:7; 150:3
Zab. 68:25Amu 11:34; 1Sa 18:6
Zab. 68:26Zb 95:6; Isa 44:2
Zab. 68:27Mwa 49:27; 1Sa 9:21
Zab. 68:28Zb 138:8
Zab. 68:291Fa 6:1; 1Nya 16:1; Ezr 5:14
Zab. 68:291Fa 10:10; 2Nya 32:23; Zb 72:10
Zab. 68:30Eze 39:18
Zab. 68:31Isa 45:14; 60:5
Zab. 68:32Kum 32:43
Zab. 68:33Zb 104:3
Zab. 68:34Zb 96:7
Zab. 68:35Zb 47:2; 66:5
Zab. 68:35Zb 29:11; Isa 40:29-31
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 68:1-35

Zaburi

Kwa kiongozi. Wa Daudi. Muziki. Wimbo.

68 Mungu na ainuke, maadui wake na watawanyike,

Wale wanaomchukia na wakimbie kutoka mbele zake.+

 2 Wapeperushe mbali kama moshi unavyopeperushwa;

Kama nta inavyoyeyuka karibu na moto,

Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+

 3 Lakini waadilifu na washangilie;+

Na wafurikwe na shangwe mbele za Mungu;

Na wafurahi na kushangilia.

 4 Mwimbieni Mungu; liimbieni sifa* jina lake.+

Mwimbieni Yule anayepanda kupitia jangwa tambarare.*

Jina lake ni Yah!*+ Shangilieni mbele zake!

 5 Baba wa mayatima na mlinzi* wa wajane+

Ni Mungu katika makao yake matakatifu.+

 6 Mungu huwapa makao walio peke yao;+

Huwaachilia huru wafungwa na kuwafanikisha.+

Lakini ni lazima watu wakaidi* waishi katika nchi iliyokauka.+

 7 Ee Mungu, ulipowaongoza* watu wako,+

Ulipopiga mwendo jangwani, (Sela)

 8 Dunia ilitetemeka;+

Mbingu zilinyesha* mvua kwa sababu ya Mungu;

Huu Mlima Sinai ulitetemeka kwa sababu ya Mungu, Mungu wa Israeli.+

 9 Ulisababisha mvua kubwa inyeshe, Ee Mungu;

Uliwatia nguvu tena watu wako waliochoka.*

10 Walikaa katika kambi yako yenye mahema;+

Kwa wema wako, uliwaandalia maskini, Ee Mungu.

11 Yehova anatoa amri;

Wanawake wanaotangaza habari njema ni jeshi kubwa.+

12 Wafalme na majeshi yao wanakimbia,+ wanakimbia!

Mwanamke anayebaki nyumbani anagawiwa nyara.+

13 Ingawa ninyi wanaume mlikuwa mkilala katikati ya mioto kambini,*

Kutakuwa na mabawa ya njiwa yaliyofunikwa kwa fedha,

Yenye manyoya ya dhahabu bora.*

14 Mweza-Yote alipowatawanya wafalme waliokuwa nchini,+

Theluji ilianguka Salmoni.*

15 Mlima wa Bashani+ ni mlima wa Mungu;*

Mlima wa Bashani ni mlima wenye vilele.

16 Enyi milima yenye vilele, kwa nini mnautazama kwa wivu,

Mlima ambao Mungu ameuchagua kuwa* makao yake?+

Kwa kweli, Yehova atakaa huko milele.+

17 Magari ya Mungu ya vita ni makumi ya maelfu, maelfu kwa maelfu.+

Yehova ametoka Sinai na kuingia mahali patakatifu.+

18 Ulipanda juu;+

Ulichukua mateka;

Ulichukua wanaume kuwa zawadi,+

Naam, hata walio wakaidi,+ ili ukae miongoni mwao, Ee Yah Mungu.

19 Na asifiwe Yehova, anayetubebea mzigo wetu kila siku,+

Mungu wa kweli wa wokovu wetu. (Sela)

20 Kwetu, Mungu wa kweli ni Mungu anayeokoa;+

Na Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu huokoa kutoka katika kifo.+

21 Naam, Mungu atapondaponda vichwa vya maadui wake,

Utosi wenye nywele wa mtu yeyote anayeendelea kuwa na* hatia.+

22 Yehova amesema: “Nitawarudisha kutoka Bashani;+

Nitawarudisha kutoka katika vilindi vya bahari,

23 Ili mguu wako ufunikwe na damu+

Na ulimi wa mbwa wako upate fungu lake kutoka kwa maadui.”

24 Wanaona misafara yako, Ee Mungu,

Misafara ya Mungu wangu, Mfalme wangu, inayoingia mahali patakatifu.+

25 Waimbaji wanatangulia mbele, wanamuziki wanaopiga vinanda wanawafuata;+

Katikati yao kuna wanawake vijana wakipiga matari.+

26 Katika umati uliokutanika,* msifuni Mungu;

Msifuni Yehova, enyi mnaotoka katika Chemchemi ya Israeli.+

27 Huko Benjamini,+ aliye mdogo zaidi, anawatiisha,

Pia wakuu wa Yuda pamoja na umati wao wenye kelele,

Wakuu wa Zabuloni, wakuu wa Naftali.

28 Mungu wako ameamuru kwamba utakuwa na nguvu.

Onyesha nguvu zako, Ee Mungu, wewe ambaye umetenda kwa niaba yetu.+

29 Kwa sababu ya hekalu lako lililo Yerusalemu,+

Wafalme watakuletea zawadi.+

30 Wakemee wanyama wa mwituni walio kwenye matete,

Kusanyiko la ng’ombe dume+ na ndama wao,

Mpaka mataifa yatakapoinama chini yakileta* vipande vya fedha.

Lakini anayatawanya mataifa yanayopenda vita.

31 Vitu vya shaba nyekundu vitaletwa kutoka* Misri;+

Kushi itafanya haraka kumpa Mungu zawadi.

32 Enyi falme za dunia, mwimbieni Mungu,+

Mwimbieni sifa* Yehova, (Sela)

33 Yule anayepanda mbingu ya kale kati ya mbingu.+

Tazama! Hunguruma kwa sauti yake, sauti yake yenye nguvu.

34 Tambueni nguvu za Mungu.+

Fahari yake iko juu ya Israeli,

Na nguvu zake ziko angani.*

35 Mungu anaogopesha kutoka katika mahali pake patakatifu penye utukufu.+

Yeye ni Mungu wa Israeli,

Anayewapa watu uwezo na nguvu.+

Asifiwe Mungu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki