Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 28
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Hesabu—Yaliyomo

      • Taratibu za kutoa dhabihu mbalimbali (1-31)

        • Dhabihu ya kila siku (1-8)

        • Kwa ajili ya Sabato (9, 10)

        • Dhabihu ya kila mwezi (11-15)

        • Kwa ajili ya Pasaka (16-25)

        • Kwa ajili ya Sherehe ya Majuma (26-31)

Hesabu 28:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mkate wangu.”

  • *

    Au “inayonituliza.”

Marejeo

  • +2Nya 8:13; Ne 10:32, 33

Hesabu 28:3

Marejeo

  • +Kut 29:38; Law 6:9; Eze 46:15

Hesabu 28:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katikati ya zile jioni mbili.”

Marejeo

  • +Kut 29:39

Hesabu 28:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Sehemu ya kumi ya efa ilikuwa sawa na lita 2.2 au kilogramu 1.3 hivi. Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Hini ilikuwa sawa na lita 3.67. Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +Kut 29:40; Hes 15:4

Hesabu 28:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inayomtuliza.”

Marejeo

  • +Kut 29:38, 42; 2Nya 2:4; Ezr 3:3

Hesabu 28:7

Marejeo

  • +Kut 29:39, 40

Hesabu 28:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “katikati ya zile jioni mbili.”

  • *

    Au “inayomtuliza.”

Marejeo

  • +Kut 29:41

Hesabu 28:9

Marejeo

  • +Kut 16:29; 20:10; Eze 20:12

Hesabu 28:10

Marejeo

  • +Hes 28:3, 7

Hesabu 28:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “miezi yenu.”

Marejeo

  • +Hes 10:10; 1Nya 23:31; 2Nya 2:4; Ne 10:32, 33

Hesabu 28:12

Marejeo

  • +Law 2:11
  • +Law 1:10

Hesabu 28:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inayomtuliza.”

Marejeo

  • +Law 1:10, 13

Hesabu 28:14

Marejeo

  • +Hes 15:8, 10
  • +Hes 15:6, 7
  • +Hes 15:5

Hesabu 28:16

Marejeo

  • +Kut 12:14; Law 23:5; Kum 16:1; Eze 45:21; 1Ko 5:7

Hesabu 28:17

Marejeo

  • +Kut 12:15; Law 23:6; 1Ko 5:8

Hesabu 28:19

Marejeo

  • +Law 22:20, 22; Kum 15:21

Hesabu 28:20

Marejeo

  • +Law 2:1

Hesabu 28:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mkate.”

  • *

    Au “inayomtuliza.”

Hesabu 28:25

Marejeo

  • +Kut 13:6
  • +Kut 12:16; Law 23:8; Kum 16:8

Hesabu 28:26

Marejeo

  • +Kut 23:16
  • +Law 23:15, 16
  • +Kut 34:22; Kum 16:10; Mdo 2:1
  • +Law 23:16, 21

Hesabu 28:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “inayomtuliza.”

Marejeo

  • +Law 23:16, 18

Hesabu 28:30

Marejeo

  • +Law 23:16, 19

Hesabu 28:31

Marejeo

  • +Law 1:3

Jumla

Hes. 28:22Nya 8:13; Ne 10:32, 33
Hes. 28:3Kut 29:38; Law 6:9; Eze 46:15
Hes. 28:4Kut 29:39
Hes. 28:5Kut 29:40; Hes 15:4
Hes. 28:6Kut 29:38, 42; 2Nya 2:4; Ezr 3:3
Hes. 28:7Kut 29:39, 40
Hes. 28:8Kut 29:41
Hes. 28:9Kut 16:29; 20:10; Eze 20:12
Hes. 28:10Hes 28:3, 7
Hes. 28:11Hes 10:10; 1Nya 23:31; 2Nya 2:4; Ne 10:32, 33
Hes. 28:12Law 2:11
Hes. 28:12Law 1:10
Hes. 28:13Law 1:10, 13
Hes. 28:14Hes 15:8, 10
Hes. 28:14Hes 15:6, 7
Hes. 28:14Hes 15:5
Hes. 28:16Kut 12:14; Law 23:5; Kum 16:1; Eze 45:21; 1Ko 5:7
Hes. 28:17Kut 12:15; Law 23:6; 1Ko 5:8
Hes. 28:19Law 22:20, 22; Kum 15:21
Hes. 28:20Law 2:1
Hes. 28:25Kut 13:6
Hes. 28:25Kut 12:16; Law 23:8; Kum 16:8
Hes. 28:26Kut 23:16
Hes. 28:26Law 23:15, 16
Hes. 28:26Kut 34:22; Kum 16:10; Mdo 2:1
Hes. 28:26Law 23:16, 21
Hes. 28:27Law 23:16, 18
Hes. 28:30Law 23:16, 19
Hes. 28:31Law 1:3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Hesabu 28:1-31

Hesabu

28 Kisha Yehova akamwambia Musa, 2 “Waamuru hivi Waisraeli: ‘Hakikisheni kwamba mnanitolea toleo langu, chakula changu.* Ni lazima mnitolee kwa wakati uliowekwa dhabihu zangu zinazoteketezwa zenye harufu inayonipendeza.’*+

3 “Nawe uwaambie, ‘Hii ndiyo dhabihu inayochomwa kwa moto ambayo mtamtolea Yehova: mtatoa kwa ukawaida kila siku wanakondoo dume wawili wasio na kasoro wenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu ya kuteketezwa.+ 4 Mtamtoa mwanakondoo dume mmoja asubuhi, na mwanakondoo dume wa pili mtamtoa jioni kabla ya giza kuingia,*+ 5 pamoja na toleo la nafaka la sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja* ya unga laini uliochanganywa na robo ya hini* ya mafuta ya zeituni zilizopondwa.+ 6 Ni dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida,+ iliyoanzishwa kwenye Mlima Sinai, dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova, 7 pamoja na toleo lake la kinywaji la robo ya hini kwa ajili ya kila mwanakondoo dume.+ Mimineni kileo mahali patakatifu kikiwa toleo la kinywaji mbele za Yehova. 8 Nanyi mtamtoa mwanakondoo dume wa pili jioni kabla ya giza kuingia.* Mtamtoa pamoja na toleo la nafaka kama lile lililotolewa asubuhi pamoja na toleo lake la kinywaji. Mtamtoa akiwa dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova.+

9 “‘Hata hivyo, siku ya Sabato,+ mnapaswa kutoa wanakondoo dume wawili wasio na kasoro wenye umri wa mwaka mmoja pamoja na toleo la nafaka la sehemu mbili za kumi za kipimo cha efa ya unga laini uliochanganywa na mafuta, pamoja na toleo lake la kinywaji. 10 Hiyo ndiyo dhabihu ya kuteketezwa ya Sabato, pamoja na dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida pamoja na toleo lake la kinywaji.+

11 “‘Mwanzoni mwa kila mwezi* mtamtolea Yehova dhabihu ya kuteketezwa ya ng’ombe dume wawili wachanga, kondoo dume mmoja, wanakondoo dume saba wasio na kasoro wote wa umri wa mwaka mmoja,+ 12 na toleo la nafaka la sehemu tatu za kumi za vipimo vya unga laini uliochanganywa na mafuta+ kwa ajili ya kila ng’ombe dume na toleo la nafaka la sehemu mbili za kumi za vipimo vya unga laini uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya kondoo dume mmoja,+ 13 na toleo la nafaka la sehemu moja ya kumi ya kipimo cha unga laini uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya kila mwanakondoo dume; mtavitoa vitu hivyo vikiwa dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza*+ Yehova. 14 Na matoleo ya kinywaji ya dhabihu hiyo yanapaswa kuwa nusu ya hini ya divai kwa ajili ya ng’ombe dume+ na sehemu ya tatu ya hini kwa ajili ya kondoo dume+ na robo ya hini kwa ajili ya mwanakondoo dume.+ Hiyo ndiyo dhabihu ya kuteketezwa inayopaswa kutolewa kila mwezi kwa mwaka mzima. 15 Pia, mwanambuzi mmoja anapaswa kutolewa kwa Yehova ili kuwa dhabihu ya dhambi; atatolewa na dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida pamoja na toleo lake la kinywaji.

16 “Siku ya 14 ya mwezi wa kwanza, itakuwa Pasaka ya Yehova.+ 17 Na siku ya 15 ya mwezi huo, kutakuwa na sherehe. Mikate isiyo na chachu italiwa kwa siku saba.+ 18 Katika siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu. 19 Nanyi mtamtolea Yehova dhabihu ya kuteketezwa inayochomwa kwa moto ya ng’ombe dume wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wote wa umri wa mwaka mmoja. Mnapaswa kutoa wanyama wasio na kasoro.+ 20 Mnapaswa kuwatoa pamoja na matoleo ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;+ sehemu tatu za kumi kwa ajili ya ng’ombe dume na sehemu mbili za kumi kwa ajili ya kondoo dume mmoja. 21 Mtatoa sehemu moja ya kumi kwa ajili ya kila mwanakondoo dume kati ya wale wanakondoo dume saba, 22 na pia mbuzi mmoja ili kuwa dhabihu ya dhambi kwa ajili ya kufunika dhambi zenu. 23 Mtatoa vitu hivyo pamoja na dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa asubuhi kwa ukawaida. 24 Mtatoa vitu hivyo kama chakula* kwa njia ileile kila siku kwa siku saba, ni dhabihu inayochomwa kwa moto yenye harufu inayompendeza* Yehova. Inapaswa kutolewa na dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida pamoja na toleo lake la kinywaji. 25 Siku ya saba mtakuwa na kusanyiko takatifu.+ Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.+

26 “‘Siku ya mavuno ya kwanza yaliyokomaa,+ mnapomtolea Yehova nafaka iliyotoka kuvunwa+ katika sherehe yenu ya majuma,+ mnapaswa kuwa na kusanyiko takatifu. Hampaswi kufanya kazi yoyote ngumu.+ 27 Mtatoa ng’ombe dume wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na wanakondoo dume saba wote wa umri wa mwaka mmoja kuwa dhabihu ya kuteketezwa yenye harufu inayompendeza* Yehova,+ 28 pamoja na toleo la nafaka la unga laini uliochanganywa na mafuta; sehemu tatu za kumi kwa ajili ya kila ng’ombe dume, na sehemu mbili za kumi kwa ajili ya kondoo dume mmoja, 29 sehemu moja ya kumi kwa ajili ya kila mwanakondoo dume kati ya wale wanakondoo dume saba, 30 na pia mwanambuzi mmoja kwa ajili ya kufunika dhambi zenu.+ 31 Mtatoa vitu hivyo pamoja na dhabihu ya kuteketezwa inayotolewa kwa ukawaida pamoja na toleo lake la nafaka. Mtatoa wanyama wasio na kasoro,+ pamoja na matoleo yao ya kinywaji.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki