Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 1
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mhubiri—Yaliyomo

      • Kila kitu ni ubatili (1-11)

        • Dunia inadumu milele (4)

        • Mizunguko ya asili huendelea (5-7)

        • Hakuna jambo jipya chini ya jua (9)

      • Hekima ya wanadamu ni duni (12-18)

        • Kukimbiza upepo (14)

Mhubiri 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yule anayewakusanya watu; mhubiri.”

Marejeo

  • +1Fa 8:1, 22
  • +1Fa 2:12; 2Nya 9:30

Mhubiri 1:2

Marejeo

  • +Zb 39:5; Ro 8:20

Mhubiri 1:3

Marejeo

  • +Mhu 2:11; Mt 16:26; Yoh 6:27

Mhubiri 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “inasimama.”

Marejeo

  • +Zb 78:69; 104:5; 119:90

Mhubiri 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “huangaza.”

  • *

    Au “hurudi likihemahema.”

Marejeo

  • +Mwa 8:22; Zb 19:6

Mhubiri 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Vijito vyote vya majira ya baridi kali; Vijito vyote vya majira.”

Marejeo

  • +Ayu 38:8, 10
  • +Ayu 36:27, 28; Isa 55:10; Amo 5:8

Mhubiri 1:9

Marejeo

  • +Mwa 8:22; Mhu 1:4

Mhubiri 1:11

Marejeo

  • +Mhu 2:16; 9:5; Isa 40:6

Mhubiri 1:12

Marejeo

  • +1Fa 11:42; Mhu 1:1

Mhubiri 1:13

Marejeo

  • +1Fa 4:29, 30
  • +Mhu 8:16

Mhubiri 1:14

Marejeo

  • +Zb 39:5, 6; Mhu 2:11, 18, 26; Lu 12:15

Mhubiri 1:16

Marejeo

  • +Mhu 2:9
  • +1Fa 3:28; 4:29-31; 2Nya 1:10-12

Mhubiri 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “upumbavu wa kupindukia.”

Marejeo

  • +Mhu 2:2, 3, 12; 7:25

Mhubiri 1:18

Marejeo

  • +Mhu 2:15; 12:12

Jumla

Mhu. 1:11Fa 8:1, 22
Mhu. 1:11Fa 2:12; 2Nya 9:30
Mhu. 1:2Zb 39:5; Ro 8:20
Mhu. 1:3Mhu 2:11; Mt 16:26; Yoh 6:27
Mhu. 1:4Zb 78:69; 104:5; 119:90
Mhu. 1:5Mwa 8:22; Zb 19:6
Mhu. 1:7Ayu 38:8, 10
Mhu. 1:7Ayu 36:27, 28; Isa 55:10; Amo 5:8
Mhu. 1:9Mwa 8:22; Mhu 1:4
Mhu. 1:11Mhu 2:16; 9:5; Isa 40:6
Mhu. 1:121Fa 11:42; Mhu 1:1
Mhu. 1:131Fa 4:29, 30
Mhu. 1:13Mhu 8:16
Mhu. 1:14Zb 39:5, 6; Mhu 2:11, 18, 26; Lu 12:15
Mhu. 1:16Mhu 2:9
Mhu. 1:161Fa 3:28; 4:29-31; 2Nya 1:10-12
Mhu. 1:17Mhu 2:2, 3, 12; 7:25
Mhu. 1:18Mhu 2:15; 12:12
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Mhubiri 1:1-18

Mhubiri

1 Maneno ya mkutanishaji,*+ mwana wa Daudi, mfalme wa Yerusalemu.+

 2 “Ubatili mkubwa kupita wote!” asema mkutanishaji,

“Ubatili mkubwa kupita wote! Kila kitu ni ubatili!”+

 3 Mtu hupata faida gani kutokana na kazi yake yote ngumu

Anayofanya kwa jasho chini ya jua?+

 4 Kizazi huenda, na kizazi huja,

Lakini dunia inadumu* milele.+

 5 Jua huchomoza,* na jua hutua;

Kisha hurudi haraka* mahali linapochomozea tena.+

 6 Upepo huelekea kusini na kuzungukazunguka hadi kaskazini;

Huendelea kuzungukazunguka; upepo huendelea na mizunguko yake.

 7 Vijito vyote* hutiririka kuingia baharini, lakini bado bahari haijai.+

Mahali vijito vinakotoka, huko ndiko vinakorudi ili vitiririke tena.+

 8 Mambo yote yanachosha sana;

Hakuna yeyote anayeweza hata kueleza jambo hilo.

Jicho halitosheki kuona;

Wala sikio halishibi kusikia.

 9 Jambo ambalo limekuwako, ndilo litakalokuwako,

Na jambo ambalo limefanywa, litafanywa tena;

Hakuna jambo jipya chini ya jua.+

10 Je, kuna jambo lolote ambalo mtu anaweza kusema, “Tazama jambo hili—ni jipya”?

Tayari lilikuwako tangu zamani za kale;

Lilikuwako kabla ya wakati wetu.

11 Hakuna yeyote anayewakumbuka watu wa zamani;

Wala hakuna yeyote atakayewakumbuka watakaokuja baadaye;

Wala hawatakumbukwa na wale watakaokuja hata baadaye.+

12 Mimi, mkutanishaji, nimekuwa mfalme wa Israeli huko Yerusalemu.+ 13 Niliazimia moyoni mwangu kujifunza na kuchunguza kwa hekima+ kila jambo ambalo limefanywa chini ya mbingu+—kazi ya kusikitisha ambayo Mungu amewapa wanadamu inayofanya waendelee kushughulika.

14 Niliona kazi zote zilizofanywa chini ya jua,

Na, tazama! kila jambo lilikuwa ubatili, kukimbiza upepo.+

15 Kilichopinda hakiwezi kunyooshwa,

Na kisichokuwapo huenda kisiweze kuhesabiwa.

16 Kisha nikasema moyoni mwangu: “Tazama! Nimepata hekima nyingi, kuliko mtu yeyote aliyenitangulia Yerusalemu,+ na moyo wangu ulipata hekima nyingi sana na ujuzi.”+ 17 Nilijitahidi sana ili moyo wangu ujue hekima na kujua wazimu* na kujua ujinga,+ na hilo pia ni kukimbiza upepo.

18 Kwa maana hekima nyingi humfanya mtu azidi kukata tamaa,

Hivi kwamba yeyote anayeongeza ujuzi anaongeza maumivu.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki