Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baba yenu amenichezea, naye amebadili mshahara wangu mara kumi, lakini Mungu hakumruhusu anidhuru.+

  • Mwanzo 31:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kama Mungu wa baba yangu,+ Mungu wa Abrahamu na aliye Hofu ya Isaka,+ hangekuwa upande wangu, wewe ungeniacha sasa niende zangu nikiwa mikono mitupu. Taabu na kazi ya mikono yangu Mungu ameona, na kwa hiyo akakukaripia usiku uliopita.”+

  • Mambo ya Walawi 19:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Msiibe,+ wala msidanganye,+ wala msitendeane kwa uwongo mtu yeyote na mwenzake.+

  • Mathayo 5:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Acheni tu neno lenu Ndiyo limaanishe Ndiyo, Siyo yenu, Siyo;+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+

  • 2 Wakorintho 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 bali tumeyakataa mambo ya kichinichini ambayo ni ya kuonea aibu,+ si kutembea kwa ujanja, wala kulichanganya na kitu neno la Mungu,+ bali kwa kufanya kweli iwe wazi tukijipendekeza kwa kila dhamiri ya kibinadamu machoni pa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki