Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Nao wana wa Zilpa, mjakazi wa Lea, walikuwa Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliowazaa akiwa Padan-aramu.

  • Mwanzo 46:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na wana wa Asheri+ walikuwa Imna na Ishva na Ishvi na Beria,+ na Sera dada yao.

      Na wana wa Beria walikuwa Heberi na Malkieli.+

  • Mwanzo 49:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Kutoka Asheri mkate wake utakuwa mnono,+ naye atatoa vitu bora vya mfalme.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye akamwambia Asheri:+

      “Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+

      Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+

      Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+

  • Ufunuo 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kutoka kabila la Asheri+ kumi na mbili elfu;

      kutoka kabila la Naftali+ kumi na mbili elfu;

      kutoka kabila la Manase+ kumi na mbili elfu;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki