Mwanzo 30:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha Lea akasema: “Pamoja na furaha yangu! Kwa maana binti watanitangaza kuwa mwenye furaha.”+ Basi akamwita jina lake Asheri.+ Mwanzo 49:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Kutoka Asheri mkate wake utakuwa mnono,+ naye atatoa vitu bora vya mfalme.+ Kumbukumbu la Torati 33:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akamwambia Asheri:+“Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+
13 Kisha Lea akasema: “Pamoja na furaha yangu! Kwa maana binti watanitangaza kuwa mwenye furaha.”+ Basi akamwita jina lake Asheri.+
24 Naye akamwambia Asheri:+“Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+