Mwanzo 25:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Haraka, tafadhali, nipe nimeze chekundu—chekundu hicho, kwa maana nimechoka!” Hiyo ndiyo sababu jina lake lilikuwa Edomu.+ Mwanzo 32:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha Yakobo akatuma wajumbe+ mbele yake kwenda kwa Esau ndugu yake kwenye nchi ya Seiri,+ eneo la Edomu,+ Malaki 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 naye Esau+ nikamchukia; mwishowe nikafanya milima yake kuwa ukiwa+ na urithi wake kuwa wa mbwa-mwitu wa nyikani.”+
30 Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Haraka, tafadhali, nipe nimeze chekundu—chekundu hicho, kwa maana nimechoka!” Hiyo ndiyo sababu jina lake lilikuwa Edomu.+
3 Kisha Yakobo akatuma wajumbe+ mbele yake kwenda kwa Esau ndugu yake kwenye nchi ya Seiri,+ eneo la Edomu,+
3 naye Esau+ nikamchukia; mwishowe nikafanya milima yake kuwa ukiwa+ na urithi wake kuwa wa mbwa-mwitu wa nyikani.”+