Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 ili msitende kwa uharibifu+ wala msijifanyie wenyewe sanamu ya kuchongwa, umbo la mfano wowote, mfano wa mwanamume au mwanamke,+

  • Kumbukumbu la Torati 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na Yehova akaniambia, ‘Ondoka, shuka upesi kutoka hapa, kwa sababu watu wako uliowatoa Misri wametenda kwa uharibifu.+ Wamegeuka kando upesi kutoka katika njia ambayo niliwaamuru. Wamejifanyia wenyewe sanamu ya kuyeyushwa.’+

  • Kumbukumbu la Torati 32:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wametenda kwa uharibifu;+

      Wao si watoto wake, kasoro ni yao wenyewe.+

      Kizazi kilicho kombo na kilichopotoka!+

  • Waamuzi 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na ikawa kwamba mwamuzi huyo alipokufa, walikuwa wakigeuka na kutenda kwa njia ya uharibifu hata zaidi ya baba zao kwa kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakujiepusha na matendo yao na tabia yao ya ukaidi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki