Kutoka 4:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nakuambia wewe: Mruhusu mwanangu aende zake ili anitumikie. Lakini iwapo utakataa kumruhusu aende zake, tazama, nitamuua mwana wako, mzaliwa wako wa kwanza.”’”+ Kutoka 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na ikiwa utaendelea kukataa kuwaruhusu waende zao, tazama, nitaleta pigo la vyura+ katika eneo lako lote. Zaburi 68:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kweli Mungu mwenyewe atavunja vipande-vipande kichwa cha adui zake,+Utosi wenye nywele wa mtu yeyote anayetembea katika hatia yake.+ Methali 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hiyo ndiyo sababu msiba wake utakuja ghafula;+ atavunjwa ghafula, wala hatapona.+
23 Nami nakuambia wewe: Mruhusu mwanangu aende zake ili anitumikie. Lakini iwapo utakataa kumruhusu aende zake, tazama, nitamuua mwana wako, mzaliwa wako wa kwanza.”’”+
2 Na ikiwa utaendelea kukataa kuwaruhusu waende zao, tazama, nitaleta pigo la vyura+ katika eneo lako lote.
21 Kwa kweli Mungu mwenyewe atavunja vipande-vipande kichwa cha adui zake,+Utosi wenye nywele wa mtu yeyote anayetembea katika hatia yake.+