31 Kwa hiyo watu wakaamini.+ Waliposikia kwamba Yehova alikuwa amewaelekezea fikira+ wana wa Israeli na kwamba alikuwa ameyaona mateso yao,+ ndipo wakainama na kusujudu.+
6 Ndipo Ezra akambariki Yehova+ Mungu wa kweli, Yeye aliye mkuu, halafu watu wote wakajibu, “Amina! Amina!”+ kwa kuinua juu mikono+ yao. Kisha wakainama+ na kumsujudia Yehova kifudifudi.+