3 Lakini akawasisitizia sana,+ basi wakageuka na kuingia kwake, wakaingia ndani ya nyumba yake. Kisha akawafanyia karamu,+ akaoka keki zisizo na chachu,+ nao wakala.
31 Mara moja akasema: “Njoo, wewe mbarikiwa wa Yehova.+ Kwa nini unaendelea kusimama hapa nje, wakati mimi mwenyewe nimetayarisha nyumba na nafasi kwa ajili ya ngamia?”