Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 19:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini akawasisitizia sana,+ basi wakageuka na kuingia kwake, wakaingia ndani ya nyumba yake. Kisha akawafanyia karamu,+ akaoka keki zisizo na chachu,+ nao wakala.

  • Mwanzo 24:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mara moja akasema: “Njoo, wewe mbarikiwa wa Yehova.+ Kwa nini unaendelea kusimama hapa nje, wakati mimi mwenyewe nimetayarisha nyumba na nafasi kwa ajili ya ngamia?”

  • Ayubu 31:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Hakuna mkaaji mgeni yeyote aliyelala nje usiku;+

      Milango yangu niliiacha wazi kuielekea njia.

  • Waroma 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+

  • Waebrania 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki