Mwanzo 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini akawasisitizia sana,+ basi wakageuka na kuingia kwake, wakaingia ndani ya nyumba yake. Kisha akawafanyia karamu,+ akaoka keki zisizo na chachu,+ nao wakala. Waamuzi 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo akamwingiza ndani ya nyumba yake,+ akawatupia wale punda chakula cha mchanganyiko.+ Kisha wakaosha miguu yao,+ wakaanza kula na kunywa. Mathayo 25:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kwa maana nilikuwa mwenye njaa nanyi mkanipa chakula;+ nilikuwa na kiu nanyi mkanipa kinywaji. Nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;+ Waebrania 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+ 1 Petro 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mkaribishane bila kunung’unika.+
3 Lakini akawasisitizia sana,+ basi wakageuka na kuingia kwake, wakaingia ndani ya nyumba yake. Kisha akawafanyia karamu,+ akaoka keki zisizo na chachu,+ nao wakala.
21 Ndipo akamwingiza ndani ya nyumba yake,+ akawatupia wale punda chakula cha mchanganyiko.+ Kisha wakaosha miguu yao,+ wakaanza kula na kunywa.
35 Kwa maana nilikuwa mwenye njaa nanyi mkanipa chakula;+ nilikuwa na kiu nanyi mkanipa kinywaji. Nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha;+
2 Msisahau ukaribishaji-wageni,+ kwa maana kupitia huo watu wengine, bila wao wenyewe kujua, waliwakaribisha malaika.+