11 Na mtu akaanza kuzikumbuka siku za zamani za kale, Musa mtumishi wake: “Yuko wapi Yeye aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+ Yuko wapi Yeye aliyetia ndani yake roho Yake takatifu?+
34 Kwa hakika nimeona jinsi watu wangu walio Misri+ wanavyotendewa vibaya, nami nimesikia kuugua+ kwao na nimeshuka ili kuwakomboa.+ Na sasa njoo, nitakutuma uende Misri.’+