Kumbukumbu la Torati 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu. Kumbukumbu la Torati 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 ndipo watu hao wawili wenye mzozo watakaposimama mbele za Yehova, mbele ya makuhani na waamuzi watakaokuwa wakitenda siku hizo.+ Zaburi 82:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 82 Mungu amesimama katika kusanyiko+ la Mungu;+Anahukumu katikati ya miungu:+
18 “Utaweka waamuzi+ na maofisa+ kwa ajili yako ndani ya malango yote ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe kulingana na makabila yako, nao watawahukumu watu kwa hukumu ya uadilifu.
17 ndipo watu hao wawili wenye mzozo watakaposimama mbele za Yehova, mbele ya makuhani na waamuzi watakaokuwa wakitenda siku hizo.+