9 “Ila jiangalie na kuitunza vema nafsi yako,+ ili usisahau mambo ambayo macho yako yameona,+ nayo yasiondoke moyoni mwako siku zote za maisha yako;+ nawe utawajulisha mambo hayo wana wako na wajukuu wako,+
16 Jiangalie daima wewe mwenyewe+ na kufundisha+ kwako. Kaa katika mambo haya, kwa maana kwa kufanya hivyo utajiokoa wewe mwenyewe na wale wanaokusikiliza pia.+
15 mkiwa waangalifu kwamba yeyote asinyimwe fadhili zisizostahiliwa za Mungu;+ kwamba mzizi wowote wenye sumu+ usichipuke na kusababisha taabu na kwamba wengi wasitiwe unajisi na huo;+