Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakamwambia Musa: “Je, ni kwa sababu hakuna makaburi yoyote huko Misri ndiyo sababu umetuleta hapa ili tufie nyikani?+ Ni nini hiki ambacho umetutendea kwa kutuongoza kutoka Misri?

  • Kutoka 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na watu wakaendelea kuwa na kiu ya maji wakiwa huko, na watu wakaendelea kunung’unika juu ya Musa na kusema: “Kwa nini umetutoa Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”+

  • Hesabu 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, ni jambo dogo sana kwamba umetuleta kutoka katika nchi inayotiririka maziwa na asali ili kutuua nyikani,+ hivi kwamba ujaribu pia kujifanya mkuu juu yetu kabisa?+

  • Hesabu 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao watu wakaendelea kusema dhidi ya Mungu+ na Musa:+ “Kwa nini mmetutoa Misri ili tufe nyikani?+ Kwa maana hakuna mkate wala maji,+ nayo nafsi yetu imeuchukia huu mkate wa kudharaulika.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki