11 Nao wakamwambia Musa: “Je, ni kwa sababu hakuna makaburi yoyote huko Misri ndiyo sababu umetuleta hapa ili tufie nyikani?+ Ni nini hiki ambacho umetutendea kwa kutuongoza kutoka Misri?
3 Na watu wakaendelea kuwa na kiu ya maji wakiwa huko, na watu wakaendelea kunung’unika juu ya Musa na kusema: “Kwa nini umetutoa Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”+
13 Je, ni jambo dogo sana kwamba umetuleta kutoka katika nchi inayotiririka maziwa na asali ili kutuua nyikani,+ hivi kwamba ujaribu pia kujifanya mkuu juu yetu kabisa?+
5 Nao watu wakaendelea kusema dhidi ya Mungu+ na Musa:+ “Kwa nini mmetutoa Misri ili tufe nyikani?+ Kwa maana hakuna mkate wala maji,+ nayo nafsi yetu imeuchukia huu mkate wa kudharaulika.”+