Kutoka 38:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hivi ndivyo vitu vilivyohesabiwa vya maskani, maskani ya Ushuhuda,+ vilivyohesabiwa kwa amri ya Musa, kuwa utumishi wa Walawi+ chini ya uongozi wa Ithamari+ mwana wa Haruni kuhani. 1 Mambo ya Nyakati 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na wana wa Amramu+ walikuwa Haruni+ na Musa,+ na Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+
21 Hivi ndivyo vitu vilivyohesabiwa vya maskani, maskani ya Ushuhuda,+ vilivyohesabiwa kwa amri ya Musa, kuwa utumishi wa Walawi+ chini ya uongozi wa Ithamari+ mwana wa Haruni kuhani.
3 Na wana wa Amramu+ walikuwa Haruni+ na Musa,+ na Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu+ na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+