2 wakamfikia Zerubabeli+ mara moja akiwa pamoja na vichwa+ vya nyumba za ukoo wa upande wa baba na kuwaambia: “Acheni tujenge pamoja nanyi;+ kwa maana, kama ninyi, sisi pia tunamtafuta Mungu wenu+ nasi tunamtolea dhabihu tangu siku za Esar-hadoni+ mfalme wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”+