Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru+ aliingia na kuchukua Iyoni+ na Abel-beth-maaka+ na Yanoa na Kedeshi+ na Hasori+ na Gileadi+ na Galilaya,+ nchi yote ya Naftali,+ akawachukua na kuwapeleka uhamishoni katika Ashuru.+

  • Ezra 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 wakamfikia Zerubabeli+ mara moja akiwa pamoja na vichwa+ vya nyumba za ukoo wa upande wa baba na kuwaambia: “Acheni tujenge pamoja nanyi;+ kwa maana, kama ninyi, sisi pia tunamtafuta Mungu wenu+ nasi tunamtolea dhabihu tangu siku za Esar-hadoni+ mfalme wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki