Mambo ya Walawi 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye Musa akamtafuta sana huyo mbuzi wa toleo la dhambi,+ na, tazama! alikuwa ameteketezwa kabisa. Basi akawaka hasira kuwaelekea Eleazari na Ithamari, wana wa Haruni waliokuwa wamebaki, na kusema: Hesabu 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nayo haya ndiyo yaliyokuwa majina ya wana wa Haruni: Nadabu mzaliwa wa kwanza na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+
16 Naye Musa akamtafuta sana huyo mbuzi wa toleo la dhambi,+ na, tazama! alikuwa ameteketezwa kabisa. Basi akawaka hasira kuwaelekea Eleazari na Ithamari, wana wa Haruni waliokuwa wamebaki, na kusema:
2 Nayo haya ndiyo yaliyokuwa majina ya wana wa Haruni: Nadabu mzaliwa wa kwanza na Abihu,+ Eleazari+ na Ithamari.+