Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Basi Musa akawapa, yaani, wana wa Gadi+ na wana wa Rubeni+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu, ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, nchi ya majiji yake katika maeneo, na majiji ya nchi kuzunguka pande zote.

  • Yoshua 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi hawa ndio wafalme wa nchi ambao wana wa Israeli waliwashinda, na kuimiliki nchi yao ng’ambo ya Yordani upande wa mapambazuko ya jua,+ kutoka bonde la mto la Arnoni+ hadi Mlima Hermoni+ na Araba+ yote upande wa mashariki:

  • Yoshua 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na pamoja na ile nusu nyingine ya kabila, Warubeni na Wagadi walichukua urithi wao ambao Musa aliwapa ng’ambo ya Yordani iliyo upande wa mashariki, kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa amewapa,+

  • 2 Wafalme 10:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 kutoka Yordani kuelekea mashariki, nchi yote ya Gileadi,+ Wagadi+ na Warubeni+ na Wamanase,+ kutoka Aroeri,+ lililoko kando ya bonde la mto la Arnoni, naam, Gileadi na Bashani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki