Yoshua 24:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye nikamtuma Musa na Haruni,+ nami nikapiga Misri kwa yale niliyofanya katikati yake;+ kisha nikawatoa ninyi.+ 1 Samweli 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mara Yakobo alipokuwa ameingia Misri+ nao mababu zenu wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ Yehova aliwatuma Musa+ na Haruni, ili wawaongoze mababu zenu watoke Misri na kuwakalisha mahali hapa.+ Zaburi 77:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Umewaongoza watu wako kama kundi,+Kwa mkono wa Musa na Haruni.+ Mika 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana niliwaleta ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami niliwakomboa kutoka nyumba ya watumwa;+ nami nikawatuma Musa, Haruni na Miriamu+ mbele yenu.
5 Baadaye nikamtuma Musa na Haruni,+ nami nikapiga Misri kwa yale niliyofanya katikati yake;+ kisha nikawatoa ninyi.+
8 “Mara Yakobo alipokuwa ameingia Misri+ nao mababu zenu wakaanza kumwomba Yehova msaada,+ Yehova aliwatuma Musa+ na Haruni, ili wawaongoze mababu zenu watoke Misri na kuwakalisha mahali hapa.+
4 Kwa maana niliwaleta ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami niliwakomboa kutoka nyumba ya watumwa;+ nami nikawatuma Musa, Haruni na Miriamu+ mbele yenu.