5 Na sasa wana wako wawili waliozaliwa katika nchi ya Misri kabla sijaja hapa kwako Misri ni wangu.+ Efraimu na Manase watakuwa wangu kama vile Rubeni na Simeoni.+
16Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+