24 Hawa ndio waliokuwa wana wa Lawi kulingana na nyumba za baba zao,+ vichwa vya upande wa akina baba, kulingana na watu wao waliopewa utume, katika hesabu ya majina, kwa vichwa vyao, wafanyakazi kwa ajili ya utumishi+ wa nyumba ya Yehova, kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi.+