Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 4:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kuanzia umri wa miaka 30 na zaidi mpaka miaka 50 utawaandikisha, wote wanaoingia katika kikundi cha utumishi ili kutoa utumishi wa hema la mkutano.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Na ndugu zao Walawi+ ndio waliokabidhiwa kwa ajili ya utumishi+ wote wa maskani ya nyumba ya Mungu wa kweli.

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hawa ndio waliokuwa wana wa Lawi kulingana na nyumba za baba zao,+ vichwa vya upande wa akina baba, kulingana na watu wao waliopewa utume, katika hesabu ya majina, kwa vichwa vyao, wafanyakazi kwa ajili ya utumishi+ wa nyumba ya Yehova, kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na kwa ajili ya migawanyo+ ya makuhani na ya Walawi na kwa ajili ya kazi zote za utumishi wa nyumba ya Yehova na ya vyombo vyote vya utumishi wa nyumba ya Yehova;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki