Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Ndipo Kalebu+ akajaribu kuwatuliza watu mbele ya Musa naye akasema: “Na tupande moja kwa moja, nasi tutaimiliki, kwa sababu kwa hakika tunaweza kuishinda.”+

  • Hesabu 14:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nanyi hamtaingia katika nchi ambayo niliinua mkono wangu katika kiapo+ ya kwamba nitakaa pamoja nanyi, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+

  • Hesabu 14:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune wataendelea kuishi, kati ya wale wanaume walioenda kuipeleleza nchi.”’”+

  • Hesabu 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nayo haya ndiyo majina ya wanaume hao: Wa kabila la Yuda,+ Kalebu mwana wa Yefune;+

  • 1 Mambo ya Nyakati 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na wana wa Kalebu+ mwana wa Yefune+ walikuwa Iru, Ela na Naamu; na wana wa Ela ni Kenasi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki