Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hiyo akainua mkono wake katika kiapo juu yao,+

      Kwamba angewafanya waanguke nyikani,+

  • 1 Wakorintho 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hata hivyo, Mungu hakuonyesha kibali+ chake juu ya walio wengi kati yao, kwa maana waliangamizwa+ nyikani.

  • Waebrania 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Zaidi ya hayo, Mungu alichukizwa na akina nani kwa miaka 40?+ Je, haikuwa na wale waliotenda dhambi, ambao mizoga yao ilianguka nyikani?+

  • Yuda 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ninataka kuwakumbusha ninyi, ingawa tayari mnajua mambo yote+ haya kwamba Yehova, ijapokuwa aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuonyesha imani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki