- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 19:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        10 Na kuhusu kila kesi itakayokuja kwenu ya ndugu zenu wanaokaa katika majiji yao, inayohusu kumwaga damu,+ inayohusu sheria+ na amri+ na masharti+ na maamuzi ya hukumu,+ lazima mwaonye kwamba wasimkosee Yehova ili ghadhabu+ isije juu yenu na juu ya ndugu zenu. Hivyo ndivyo mnavyopaswa kufanya ili msipate hatia. 
 
-